CHADEMA mlionesha uugwana mkubwa sana kwa kutuchangisha Tsh 350m kwa wahukumiwa wote hata aliyekuwa katibu Mkuu wenu aliyewakimbia. Hii iliwajengea heshima kubwaa kwa kuonesha kuwa mlithamini mchango wake na isitoshe kesi aliyohukumiwa ilitokana na kuwa kiongozi wa CHADEMA kipindi hicho.
Naamini hata kama CCM wasingewahi kumlipia naamini mngetumia michango tuliyowachangia mngemlipia kabla hata ya Mbowe kama mlivyofanya kwa viongozi wengine. Ushauri wangu kwa kuwa akaunti ya CCM inajulikana ingizeni 30m sehemu ya michango yetu iliyobaki kwenye akaunti ya CCM kama kuwarudishia pesa yao. Kama hakuna salio tuchangisheni tena.
Atendaye mema hulipwa na Mungu na malipo yake ni makubwa. Nawasilisha.
Naamini hata kama CCM wasingewahi kumlipia naamini mngetumia michango tuliyowachangia mngemlipia kabla hata ya Mbowe kama mlivyofanya kwa viongozi wengine. Ushauri wangu kwa kuwa akaunti ya CCM inajulikana ingizeni 30m sehemu ya michango yetu iliyobaki kwenye akaunti ya CCM kama kuwarudishia pesa yao. Kama hakuna salio tuchangisheni tena.
Atendaye mema hulipwa na Mungu na malipo yake ni makubwa. Nawasilisha.