WAZO: Nafikiria kuandaa Mapokezi ya Mbunge Wetu(KAWE) siku atakaporudi Dar.

Mgibeon

JF-Expert Member
Aug 7, 2011
11,135
20,763
Baada ya muwakilishi wetu kufukuzwa Bungeni na Mabwana Wale, Nimeona nivema Niandae Msafara wa waenda kwa Miguu na wenye Vyombo vya Moto utakaoanzia either Ubungo Mataa Au Bunju B pale darajani ikitegemea Shujaa wetu ataingia Dar Akitokea Upande gani.

Mimi kama Mwana-KAWE nimejihisi Ni kama vile tumefukuzwa wote, Ukifikiria Msingi wa kosa Alilolifanya Mbunge wetu pamoja na mwenzie (Bulaya) naona Kuna kila sababu ya kupinga uonevu uliofanywa dhidi yake na zaidi sisi wana-KAWE. basi naomba tujitokeze Kumpa Moyo Shujaa wetu.

Hivyo nitoe wito kwa wote ambao mmeguswa kwa tukio hili kwapamoja tuungane tumpokee MALKIA WA NGUVU, JASIRI, KICHWA, MCHACHAFYAGI, UNTOUCHOUBLE.

Nitawapa Updates jinsi ya kufanya.

Karibuni Sana Kawe Jimbo wanaloishi wabunge 75%.
 
naunga mkono hoja. hii ni sawa na wananchi wa kawe wote wamefukuzwa bungeni. hii kikatiba haijakaa sawa. wapi wanasheria?
 
Baada ya muwakilishi wetu kufukuzwa Bungeni na Mabwana Wale, Nimeona nivema Niandae Msafara wa waenda kwa Miguu na wenye Vyombo vya Moto utakaoanzia either Ubungo Mataa Au Bunju B pale darajani ikitegemea Shujaa wetu ataingia Dar Akitokea Upande gani.

Mimi kama Mwana-KAWE nimejihisi Ni kama vile tumefukuzwa wote, Ukifikiria Msingi wa kosa Alilolifanya Mbunge wetu pamoja na mwenzie (Bulaya) naona Kuna kila sababu ya kupinga uonevu uliofanywa dhidi yake na zaidi sisi wana-KAWE. basi naomba tujitokeze Kumpa Moyo Shujaa wetu.

Hivyo nitoe wito kwa wote ambao mmeguswa kwa tukio hili kwapamoja tuungane tumpokee MALKIA WA NGUVU, JASIRI, KICHWA, MCHACHAFYAGI, UNTOUCHOUBLE.

Nitawapa Updates jinsi ya kufanya.

Karibuni Sana Kawe Jimbo wanaloishi wabunge 75%.
Labda kwanza aje atengeneze kwanza barabara
 
Baada ya muwakilishi wetu kufukuzwa Bungeni na Mabwana Wale, Nimeona nivema Niandae Msafara wa waenda kwa Miguu na wenye Vyombo vya Moto utakaoanzia either Ubungo Mataa Au Bunju B pale darajani ikitegemea Shujaa wetu ataingia Dar Akitokea Upande gani.

Mimi kama Mwana-KAWE nimejihisi Ni kama vile tumefukuzwa wote, Ukifikiria Msingi wa kosa Alilolifanya Mbunge wetu pamoja na mwenzie (Bulaya) naona Kuna kila sababu ya kupinga uonevu uliofanywa dhidi yake na zaidi sisi wana-KAWE. basi naomba tujitokeze Kumpa Moyo Shujaa wetu.

Hivyo nitoe wito kwa wote ambao mmeguswa kwa tukio hili kwapamoja tuungane tumpokee MALKIA WA NGUVU, JASIRI, KICHWA, MCHACHAFYAGI, UNTOUCHOUBLE.

Nitawapa Updates jinsi ya kufanya.

Karibuni Sana Kawe Jimbo wanaloishi wabunge 75%.

Yaani Halima Mdee ni zaidi ya wabunge 360 wa CCM.

Kama.wanaweza kumuogopa Halima basi CCM kuna shida.

Kama issue ni Kweli madini basi wasingewatoa wabunge Wapinzani Ika Kwa sababu hakuna cha maana kinachotafutwa zaidi ya kick za kisiasa nsiyo sababu wametolewa.

Hakuna cha JPM Mzalendo wala nini tunajaziwa.wananyarqanda na Maccm msiposhtuka leo mtakuja juta baadaye kama mlivyojuta ya madini hii ya wanyarwanda mtaijutia mara mia zaidi.

Tunaowajua wanyarwanda tunawaasa tuachaeni.hayo teteen Taifa SAA kabla hatujachelewa
 
Kwanza nikupongezeni sana Wananchi wa Kawe kwa kuwa mmejichagulia mbunge boooora kabisa katika karne hii. Nawaomba msife moyo, kwa kuwa hakuna cha maana anachokosa kule zaidi ya makero.

Siku hizi rais akitaka waziri anateua kutoka nje ya bunge maana bungeni kule kuna NDIOOOOO
 
Yaani Halima Mdee ni zaidi ya wabunge 360 wa CCM.

Kama.wanaweza kumuogopa Halima basi CCM kuna shida.

Kama issue ni Kweli madini basi wasingewatoa wabunge Wapinzani Ika Kwa sababu hakuna cha maana kinachotafutwa zaidi ya kick za kisiasa nsiyo sababu wametolewa.

Hakuna cha JPM Mzalendo wala nini tunajaziwa.wananyarqanda na Maccm msiposhtuka leo mtakuja juta baadaye kama mlivyojuta ya madini hii ya wanyarwanda mtaijutia mara mia zaidi.

Tunaowajua wanyarwanda tunawaasa tuachaeni.hayo teteen Taifa SAA kabla hatujachelewa
Inasitisha Mno Mkuu, ajabu Ni kwamba haya Ndugai mwenyewe Ni mwana-KAWE.
 
Kwanza nikupongezeni sana Wananchi wa Kawe kwa kuwa mmejichagulia mbunge boooora kabisa katika karne hii. Nawaomba msife moyo, kwa kuwa hakuna cha maana anachokosa kule zaidi ya makero.

Siku hizi rais akitaka waziri anateua kutoka nje ya bunge maana bungeni kule kuna NDIOOOOO
Asante Sana kwaneno la faraja Mkuu, Maana kina kitu kimenikaba hapa kooni hata sijui nifanyeje.
 
Wajinga pekee watafanya ujinga huo
naomba sikuhiyo Virungu vifanye kazi
Nimesema Ni kwetu sisi wana-KAWE, wewe wa Kongwa umefikaje hapa? Unafikiri tunaomba kirungu? Tunaogopa woga wenyewe Tu! We have nothing to fear than fear itself..
 
Baada ya muwakilishi wetu kufukuzwa Bungeni na Mabwana Wale, Nimeona nivema Niandae Msafara wa waenda kwa Miguu na wenye Vyombo vya Moto utakaoanzia either Ubungo Mataa Au Bunju B pale darajani ikitegemea Shujaa wetu ataingia Dar Akitokea Upande gani.

Mimi kama Mwana-KAWE nimejihisi Ni kama vile tumefukuzwa wote, Ukifikiria Msingi wa kosa Alilolifanya Mbunge wetu pamoja na mwenzie (Bulaya) naona Kuna kila sababu ya kupinga uonevu uliofanywa dhidi yake na zaidi sisi wana-KAWE. basi naomba tujitokeze Kumpa Moyo Shujaa wetu.

Hivyo nitoe wito kwa wote ambao mmeguswa kwa tukio hili kwapamoja tuungane tumpokee MALKIA WA NGUVU, JASIRI, KICHWA, MCHACHAFYAGI, UNTOUCHOUBLE.

Nitawapa Updates jinsi ya kufanya.

Karibuni Sana Kawe Jimbo wanaloishi wabunge 75%.
Mi pia na wazo kama hili. Niko musoma na arrange tuende kumpokea mbunge wetu jimboni. Hawa ni wanawake wa shoka c kama wale wakupewa kule mjengoni
 
Tuko pamoja mkuu. Wap UKUTA. Mbowe tuletee ukuta wetu..huu ubabe sasa umepitiliza
 
Back
Top Bottom