ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Nimefikiria jinsi wananchi wanaoishi vijijini wanavyoishi katika style ambayo bado maeneo Mengi kuna uamini mkubwa Wa Nguvu za giza na baadhi kuabudu mizimu
Je si ni wakati muafaka sasa mitume na manabii waliojazana mijini kuweka kusudio LA kuhama kabisa mijini mikoa yote na kwenda kuweka makazi ya kudumu huko kuokoa roho za wanavijiji wengi wanaosumbuliwa na mapepo,imani za kishirikina,mauaji ya albino,ulozi wa mashamba na mazao
Kwa maana mijini tumeshashika neno na tumewaelewa tatizo wenzetu wa vijijini kwa kweli wanakosa kabisa huduma ya kiroho
Sie wa mijini haina shida tutaendelea tu kuwa follow katika insta na tweeter pia YouTube
Hili ni wazo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Je si ni wakati muafaka sasa mitume na manabii waliojazana mijini kuweka kusudio LA kuhama kabisa mijini mikoa yote na kwenda kuweka makazi ya kudumu huko kuokoa roho za wanavijiji wengi wanaosumbuliwa na mapepo,imani za kishirikina,mauaji ya albino,ulozi wa mashamba na mazao
Kwa maana mijini tumeshashika neno na tumewaelewa tatizo wenzetu wa vijijini kwa kweli wanakosa kabisa huduma ya kiroho
Sie wa mijini haina shida tutaendelea tu kuwa follow katika insta na tweeter pia YouTube
Hili ni wazo tu
Sent using Jamii Forums mobile app