Wazo Mitume Na Manabii Hamieni Vijijini Sasa

ibanezafrica

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,261
6,543
Nimefikiria jinsi wananchi wanaoishi vijijini wanavyoishi katika style ambayo bado maeneo Mengi kuna uamini mkubwa Wa Nguvu za giza na baadhi kuabudu mizimu
Je si ni wakati muafaka sasa mitume na manabii waliojazana mijini kuweka kusudio LA kuhama kabisa mijini mikoa yote na kwenda kuweka makazi ya kudumu huko kuokoa roho za wanavijiji wengi wanaosumbuliwa na mapepo,imani za kishirikina,mauaji ya albino,ulozi wa mashamba na mazao
Kwa maana mijini tumeshashika neno na tumewaelewa tatizo wenzetu wa vijijini kwa kweli wanakosa kabisa huduma ya kiroho
Sie wa mijini haina shida tutaendelea tu kuwa follow katika insta na tweeter pia YouTube
Hili ni wazo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimefikiria jinsi wananchi wanaoishi vijijini wanavyoishi katika style ambayo bado maeneo Mengi kuna uamini mkubwa Wa Nguvu za giza na baadhi kuabudu mizimu
Je si ni wakati muafaka sasa mitume na manabii waliojazana mijini kuweka kusudio LA kuhama kabisa mijini mikoa yote na kwenda kuweka makazi ya kudumu huko kuokoa roho za wanavijiji wengi wanaosumbuliwa na mapepo,imani za kishirikina,mauaji ya albino,ulozi wa mashamba na mazao
Kwa maana mijini tumeshashika neno na tumewaelewa tatizo wenzetu wa vijijini kwa kweli wanakosa kabisa huduma ya kiroho
Sie wa mijini haina shida tutaendelea tu kuwa follow katika insta na tweeter pia YouTube
Hili ni wazo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Injili huwa inapelekwa pale kwenye watu wenye utayari wa kuipokea,huwezi kwenda tu kisa watu wana changamoto nyingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muda mfupi uliopita nilikua namsikiliza nabii mmoja akitoa namba zake za Simu na kuwaelekeza wasikilizaji redioni mahala lilipo kanisa lake sinza kwa remmy..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sidhani kama hawataipokea vijijini

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sizungumzii mapokezi physical,hapa namaanisha utayari wa kiroho. Hadi huduma ya kiroho ipelekwe mahali lazima kuwe na uhitaji unaooneshwa na wahusika. Mfano ni watu wangapi wanaweza kufunga safari toka kijijini kwenda huko mijini kufuata huduma kama sehemu ya kudhihirisha wana uhitaji wa huduma husika?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nayo ni factor muhimu,kama watu wenyewe hawawezi hata kutoa sadaka unawahangikia wa nini? Injili hutolewa bure ila kuipokea ni gharama. Mwisho wa yote Mtumishi atahitaji kula,kunywa,kuvaa nk na ana familia pia inamtegemea.

Sent using Jamii Forums mobile app
kwahyo hao mapadri na wachungaji wa kkt, Anglican, sabato na wengine wanaishi vipi huku vijijini? hao manabii na mitume wameweka hela mbele na starehe hawana lolote.
 
kwahyo hao mapadri na wachungaji wa kkt, Anglican, sabato na wengine wanaishi vipi huku vijijini? hao manabii na mitume wameweka hela mbele na starehe hawana lolote.
Jaribu kufatilia utagundua parish zote zilizopelekwa huko vijijini zilioelekwa kwa ufadhili toka nchi za nje huko. Kwa hiyo wanahudumiwa tena kwa gharama kubwa kuliko hao unaosema wanapenda starehe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jaribu kufatilia utagundua parish zote zilizopelekwa huko vijijini zilioelekwa kwa ufadhili toka nchi za nje huko. Kwa hiyo wanahudumiwa tena kwa gharama kubwa kuliko hao unaosema wanapenda starehe.

Sent using Jamii Forums mobile app
siyo kweli kuna makanisa yanajiendesha kwa michango ya waumini wao hata hao katoliki walikuwa wanapewa misaada zaman siyo sasa.
 
Nimefikiria jinsi wananchi wanaoishi vijijini wanavyoishi katika style ambayo bado maeneo Mengi kuna uamini mkubwa Wa Nguvu za giza na baadhi kuabudu mizimu
Je si ni wakati muafaka sasa mitume na manabii waliojazana mijini kuweka kusudio LA kuhama kabisa mijini mikoa yote na kwenda kuweka makazi ya kudumu huko kuokoa roho za wanavijiji wengi wanaosumbuliwa na mapepo,imani za kishirikina,mauaji ya albino,ulozi wa mashamba na mazao
Kwa maana mijini tumeshashika neno na tumewaelewa tatizo wenzetu wa vijijini kwa kweli wanakosa kabisa huduma ya kiroho
Sie wa mijini haina shida tutaendelea tu kuwa follow katika insta na tweeter pia YouTube
Hili ni wazo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Huko vijijini wasiende kabisa kuna nabii mmoja anakaribia kuvunja ndoa ya mtu. Kaona mwanamke mzuri amekwenda kuombewa ili aondokane na tatizo la kushindwa kuzaa"TASA" basi huyo nabii ndio kamfanya mchepuko wake na tayari mwanamke kapewa uzee wa kanisa ili apigwe vizuri.

Nyumbani ni mtafaruku hakuna maelewano na mwanamke amekua mbogo, anafanya kila aina ya vituko ilimradi aachike akaolewe na huyo mchungaji wa kondoo wa bwana. Hivi tunavyoongea mwanamke analazimisha waachane ila bwana ake yupo kimya na amekua mpole wala hataki kumjibu vibaya mwanamke kwakua anampenda sana japo anadhalilishwa kwa mambo ambayo siwezi kuyaandika hapa ila mume hana kauli juu ya mwanamke zaidi ya kuwa mpole.

We mchungaji najua upo humu jamii forum mhurumie mwanaume mwenzako, mkienda makanisani mjue kuna vya watu yaani mwanamke anakufuata anakwambia ameolewa na hashiki mimba hapo jibu si unakua nalo kwamba ni mke wa mtu? Kwanini utengeneze migogoro na wana ndoa?

Kuchezea neno la Mungu kwa nia ya kutenda dhambi ni mbaya sana, mtakuja kupata adhabu kali sana huko mbinguni japo hakuna ajuae atakwenda motoni au peponi.

Acheni dhambi ya uzinzi watu wa huduma za kiroho inakera tunapowaona mnafanya hayo ipo siku tutawachoka tutaanza kuwaumbua tena kwa ushahidi.

Bakini huko huko mjini ndio mtavumiliwa vijijini watu ni wachache mnajulikana kila baya mlifanyalo alafu mkumbuke sio kila aliyepo kijijini ni mwanakijiji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unazungumzia hivi vimichango vya buku buku? Leo unasema wanachangia sababu kuna watu walisha establish miundombinu awali.

Sent using Jamii Forums mobile app
miundombinu kama ipi na ilianzishwa na nani? utakuta dhehebu linaanzisha tawi lakin kwa michango ya waumini tena wale wa maisha ya kawaida, ingawa we unazarau buku buku zao lakin ndizo zinazopeleka injili mbele siyo kama hao manabii hela wanatumia kujenga nyumba na kununua magari ya kifahari.
 
Nazungumzia miundombinu km shule,hospitals,maji,nishati nk maana huwezi mpeleka mchungaji/padre anahitaji hizo huduma ili aende huko kutoa huduma ya kiroho. Sasa hiyo miundombinu inaletwa na wafadhili ndugu,km umewahi ishi vijijini yaani mtu akiwa na shida anaenda parish kupatiwa msaada iwe ni ada,matibabu,chakula nk hizo hela za kuendeshea hizo huduma watatoa wapi?
miundombinu kama ipi na ilianzishwa na nani? utakuta dhehebu linaanzisha tawi lakin kwa michango ya waumini tena wale wa maisha ya kawaida, ingawa we unazarau buku buku zao lakin ndizo zinazopeleka injili mbele siyo kama hao manabii hela wanatumia kujenga nyumba na kununua magari ya kifahari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni changamoto kwetu wa Tz wengi wetu huwa tunakwepa ukweli
Sawa miundombinu maana kuna yule wa mwenge ana mpaka benki
Mwingine helikopta
Yule was arusha nae anaishi kama raisYule mama was Mikocheni,Mzee wa riverside nk hakika wangeishi vijijini hawa wangeokoa wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom