Abuu Naila
New Member
- Jan 16, 2019
- 1
- 0
Mmmmh muda utaamua
Jee akitoa photocopy ya original? Maana kusema tuu kuwa nataka! Ukorofi huo unatosha kuwavuruga.Watoto ni wengi humu jf hadi kero!.
Hawajui kuwa CCM tayari inao utaratibu wake wa ndani, hakuna fomu yoyote ya urais itatolewa kwa mwana CCM yeyote zaidi ya aliyepo.
Ha ha ha hiyo sio picha ni jinamizi la kutisha sana.