Wazo la wiki: Malalamiko ya upinzani ni ishara ya uasi au uhaini

Hata kama ni unazi huo wa kujifanya kutokunielewa, ni heri. Malalamiko yawepo yasiwepo jinsi wanavyofikisha hayo malalamiko ni kinyume cha Sheria nilizonukuu vifungu vyake.

Narudia, kwa msisitizo, kwamba Vyombo vya Habari siyo mahala sahihi pa kupeleka malalamiko ya Kikatiba au Kisheria. Upinzani wana wanasheria nguri, pia upinzani una wabunge, tena wanaojenga hoja kwa ustadi, inakuwaje hawatumii Mahakama au Bunge?

Gyole na casanova69, nipeni jibu.
Wapereke malalamiko yao wapi!!!
1. Bunge ambalo spika anaelekezwa akawatimue wabunge ili Jiwe lipate kuwaponda!!!
2. Mahakama zinazopewa pesa kwa mashrti ya kesi za serikali zishinde??!! .

Kama husukumwi na mahaba utaona viongozi wa upinzani wanavyopita kwenye bonde la mauti chini ya awamu ya safari hii.
 
Bado ukweli ni kwamba wanefikishwa mahakamani. Soma kwa umakini vifungu vya sheria nilivyonukuu kwenye mada kuu. Mahakama ndiyo yenye mamlaka ya kutafsiri, hivyo tuache sheria ichukue mkondo wake.
watajijua wenyewe sina urafiki wala huruma na wanasiasa.
 
Back
Top Bottom