Wazo la mradi "Digital marketing agency", initial capital 150m

Katika kitu sipendi kwenye haya maisha ni kumwambia mtu jambo analotaka kufanya au ambalo ameanza kufanya kuwa halina maana.

Binadamu tumepewa vision tofuti sana. Mwenzako anaweza pewa maono ya kufanya kitu chenye thamani ya mamilioni ila kwasababu haupo katika vision yake utahisi anafanya pumba sana.

Moja ya kitu kilinibadilisha na kunipa upeo huu wa kuwaamini watu na kuwapa chance ya kuonyesha uwezo wao ni kipindi fulani hivi miaka nipo sekondari kuna ndugu yangu binadamu, binti ambaye alikuwa ametoka kwao iringa kaja mjini kuishi na familia yetu.Nakumbuka alikuwa ndio amemaliza darasa la saba so akaja kukaa home.

Yule binti alikuwa shapu sana na mchapakazi ingawa ndio hivyo hakuwa na uwezo wa ubunifu wa biashara au idea ya nini afanye. Mimi on the other hand kwa wakati ule nilikuwa nina vi idea kidogo. Siku moja nilitengeza juice (mimi nipo vizuri sana katika recipes za vinywaji organic especially matunda) nilitengeza juice, na avocado milk shake yenye vionjo vya vanilla na food colour. Yule binti alipoinywa ile kitu aliipenda sana akasema hii ataweza kuiuza na tukapata faida. Mimi kimoyo moyo na hata kwa kauli sikuungana nae nilimkatalia.

Nikamwambia kwa gharama ya kutengeneza na tukitaka kuuza watu hawatanunua watanzania hawapendi vitu vya kizungu labda wale wakishua wanaoishi masaki kule ila huku uswahilini hawatanunua maana hata sista wangu alishataka kuuza ice cream ila alifeli (sababu ilikuwa uhifadhi wa ice-cream container kuna utaratibu wake na friji za aina yake)

Basi alikuwa ananililia kila siku tutengeneze ajaribu kuuza. Mwishowe nikakubali. So nikatengeneza aina tatu ya products. Akaanza kutembeza (nachomsifu yule binti ni mpambanaji na vile hapa mjini sio mzaliwa so alikuwa anatembea bila noma. So huwezi amini hadi jioni zile dumu tatu zimekata na anasumbuliwa balaa....

Aisee ikabidi nistaajabu..... Anyways, nikaongeza mzigo ikawa natengeneza ndoo ndogo kwa kila product. Yaani ikawa zile ndoo ndogo hazikai zinakata hata mchana haujaisha. Kuna watu wakawa wanaweka order ya ndoo nzima anataka so hadi wale wengine wanakosa. Biashara ili boom, na mapato yalianza kuonekana kwa kifupi nilipata pesa ya kufanya mambo mengi kwa wakati ule na yule dada alianza kupata pesa ya kutuma kwa bi mkubwa wake, tukafungua sehemu ya bites and drinks na mambo yakaanza kusimama na kushika kasi hadi leo naongea ile kitu ni moja ya investment kubwa sana nilifanya na ilisaidia hata kunisomesha (sijasoma kwa mkopo wa serikali chuoni) imagine ningemdharau yule dada na kumkatalia kuwa hicho kitu hakitauzika (kuwa closed minded).

Nikaanza taratibu kuelewa kuwa muda mwingine sio vizuri kumkataa mtu na wazo lake na haujui yeye anaona nini ambacho wewe haukioni. Sasa huyu bwana mnaweza mkataa hapa ila kesho akikomaa hii baishara ikasimama mtarudi katika huu uzi na kuanza kusifia, kupongeza, na kujilaumu why hamkuona potential ndani ya maoni yake.....

Usipoelewa jambo haimaanishi huyo anaekwambia anaongea upuuzi au anaongea kitu kisicho na tija pengine unatakiwa ujifunze kwake na ujue jambo jipya.

Akina Newton walikuwa wanapondwa sana aidea zao ila leo tunawasoma darasani na ili mtu uonekane una akili ni lazima uclamishe yale mawazo yao na kuyajibia mtihani kisha unaitwa smart (so stupid).


Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea point kubwa sana mkuu
 
Katika kitu sipendi kwenye haya maisha ni kumwambia mtu jambo analotaka kufanya au ambalo ameanza kufanya kuwa halina maana.

Binadamu tumepewa vision tofuti sana. Mwenzako anaweza pewa maono ya kufanya kitu chenye thamani ya mamilioni ila kwasababu haupo katika vision yake utahisi anafanya pumba sana.

Moja ya kitu kilinibadilisha na kunipa upeo huu wa kuwaamini watu na kuwapa chance ya kuonyesha uwezo wao ni kipindi fulani hivi miaka nipo sekondari kuna ndugu yangu binadamu, binti ambaye alikuwa ametoka kwao iringa kaja mjini kuishi na familia yetu.Nakumbuka alikuwa ndio amemaliza darasa la saba so akaja kukaa home.

Yule binti alikuwa shapu sana na mchapakazi ingawa ndio hivyo hakuwa na uwezo wa ubunifu wa biashara au idea ya nini afanye. Mimi on the other hand kwa wakati ule nilikuwa nina vi idea kidogo. Siku moja nilitengeza juice (mimi nipo vizuri sana katika recipes za vinywaji organic especially matunda) nilitengeza juice, na avocado milk shake yenye vionjo vya vanilla na food colour. Yule binti alipoinywa ile kitu aliipenda sana akasema hii ataweza kuiuza na tukapata faida. Mimi kimoyo moyo na hata kwa kauli sikuungana nae nilimkatalia.

Nikamwambia kwa gharama ya kutengeneza na tukitaka kuuza watu hawatanunua watanzania hawapendi vitu vya kizungu labda wale wakishua wanaoishi masaki kule ila huku uswahilini hawatanunua maana hata sista wangu alishataka kuuza ice cream ila alifeli (sababu ilikuwa uhifadhi wa ice-cream container kuna utaratibu wake na friji za aina yake)

Basi alikuwa ananililia kila siku tutengeneze ajaribu kuuza. Mwishowe nikakubali. So nikatengeneza aina tatu ya products. Akaanza kutembeza (nachomsifu yule binti ni mpambanaji na vile hapa mjini sio mzaliwa so alikuwa anatembea bila noma. So huwezi amini hadi jioni zile dumu tatu zimekata na anasumbuliwa balaa....

Aisee ikabidi nistaajabu..... Anyways, nikaongeza mzigo ikawa natengeneza ndoo ndogo kwa kila product. Yaani ikawa zile ndoo ndogo hazikai zinakata hata mchana haujaisha. Kuna watu wakawa wanaweka order ya ndoo nzima anataka so hadi wale wengine wanakosa. Biashara ili boom, na mapato yalianza kuonekana kwa kifupi nilipata pesa ya kufanya mambo mengi kwa wakati ule na yule dada alianza kupata pesa ya kutuma kwa bi mkubwa wake, tukafungua sehemu ya bites and drinks na mambo yakaanza kusimama na kushika kasi hadi leo naongea ile kitu ni moja ya investment kubwa sana nilifanya na ilisaidia hata kunisomesha (sijasoma kwa mkopo wa serikali chuoni) imagine ningemdharau yule dada na kumkatalia kuwa hicho kitu hakitauzika (kuwa closed minded).

Nikaanza taratibu kuelewa kuwa muda mwingine sio vizuri kumkataa mtu na wazo lake na haujui yeye anaona nini ambacho wewe haukioni. Sasa huyu bwana mnaweza mkataa hapa ila kesho akikomaa hii baishara ikasimama mtarudi katika huu uzi na kuanza kusifia, kupongeza, na kujilaumu why hamkuona potential ndani ya maoni yake.....

Usipoelewa jambo haimaanishi huyo anaekwambia anaongea upuuzi au anaongea kitu kisicho na tija pengine unatakiwa ujifunze kwake na ujue jambo jipya.

Akina Newton walikuwa wanapondwa sana aidea zao ila leo tunawasoma darasani na ili mtu uonekane una akili ni lazima uclamishe yale mawazo yao na kuyajibia mtihani kisha unaitwa smart (so stupid).


Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba darasa la kutengeneza juice, if possible.
 
Katika kitu sipendi kwenye haya maisha ni kumwambia mtu jambo analotaka kufanya au ambalo ameanza kufanya kuwa halina maana.

Binadamu tumepewa vision tofuti sana. Mwenzako anaweza pewa maono ya kufanya kitu chenye thamani ya mamilioni ila kwasababu haupo katika vision yake utahisi anafanya pumba sana.

Moja ya kitu kilinibadilisha na kunipa upeo huu wa kuwaamini watu na kuwapa chance ya kuonyesha uwezo wao ni kipindi fulani hivi miaka nipo sekondari kuna ndugu yangu binadamu, binti ambaye alikuwa ametoka kwao iringa kaja mjini kuishi na familia yetu.Nakumbuka alikuwa ndio amemaliza darasa la saba so akaja kukaa home.

Yule binti alikuwa shapu sana na mchapakazi ingawa ndio hivyo hakuwa na uwezo wa ubunifu wa biashara au idea ya nini afanye. Mimi on the other hand kwa wakati ule nilikuwa nina vi idea kidogo. Siku moja nilitengeza juice (mimi nipo vizuri sana katika recipes za vinywaji organic especially matunda) nilitengeza juice, na avocado milk shake yenye vionjo vya vanilla na food colour. Yule binti alipoinywa ile kitu aliipenda sana akasema hii ataweza kuiuza na tukapata faida. Mimi kimoyo moyo na hata kwa kauli sikuungana nae nilimkatalia.

Nikamwambia kwa gharama ya kutengeneza na tukitaka kuuza watu hawatanunua watanzania hawapendi vitu vya kizungu labda wale wakishua wanaoishi masaki kule ila huku uswahilini hawatanunua maana hata sista wangu alishataka kuuza ice cream ila alifeli (sababu ilikuwa uhifadhi wa ice-cream container kuna utaratibu wake na friji za aina yake)

Basi alikuwa ananililia kila siku tutengeneze ajaribu kuuza. Mwishowe nikakubali. So nikatengeneza aina tatu ya products. Akaanza kutembeza (nachomsifu yule binti ni mpambanaji na vile hapa mjini sio mzaliwa so alikuwa anatembea bila noma. So huwezi amini hadi jioni zile dumu tatu zimekata na anasumbuliwa balaa....

Aisee ikabidi nistaajabu..... Anyways, nikaongeza mzigo ikawa natengeneza ndoo ndogo kwa kila product. Yaani ikawa zile ndoo ndogo hazikai zinakata hata mchana haujaisha. Kuna watu wakawa wanaweka order ya ndoo nzima anataka so hadi wale wengine wanakosa. Biashara ili boom, na mapato yalianza kuonekana kwa kifupi nilipata pesa ya kufanya mambo mengi kwa wakati ule na yule dada alianza kupata pesa ya kutuma kwa bi mkubwa wake, tukafungua sehemu ya bites and drinks na mambo yakaanza kusimama na kushika kasi hadi leo naongea ile kitu ni moja ya investment kubwa sana nilifanya na ilisaidia hata kunisomesha (sijasoma kwa mkopo wa serikali chuoni) imagine ningemdharau yule dada na kumkatalia kuwa hicho kitu hakitauzika (kuwa closed minded).

Nikaanza taratibu kuelewa kuwa muda mwingine sio vizuri kumkataa mtu na wazo lake na haujui yeye anaona nini ambacho wewe haukioni. Sasa huyu bwana mnaweza mkataa hapa ila kesho akikomaa hii baishara ikasimama mtarudi katika huu uzi na kuanza kusifia, kupongeza, na kujilaumu why hamkuona potential ndani ya maoni yake.....

Usipoelewa jambo haimaanishi huyo anaekwambia anaongea upuuzi au anaongea kitu kisicho na tija pengine unatakiwa ujifunze kwake na ujue jambo jipya.

Akina Newton walikuwa wanapondwa sana aidea zao ila leo tunawasoma darasani na ili mtu uonekane una akili ni lazima uclamishe yale mawazo yao na kuyajibia mtihani kisha unaitwa smart (so stupid).


Sent using Jamii Forums mobile app
Kupondwa ni jambo la kawaida kwenye jamii. Ukiweza kuhimili majungu, wivu na maneno ya wakosoaji huwezi kushindwa kitu humu duniani.
 
Katika kitu sipendi kwenye haya maisha ni kumwambia mtu jambo analotaka kufanya au ambalo ameanza kufanya kuwa halina maana.

Binadamu tumepewa vision tofuti sana. Mwenzako anaweza pewa maono ya kufanya kitu chenye thamani ya mamilioni ila kwasababu haupo katika vision yake utahisi anafanya pumba sana.

Moja ya kitu kilinibadilisha na kunipa upeo huu wa kuwaamini watu na kuwapa chance ya kuonyesha uwezo wao ni kipindi fulani hivi miaka nipo sekondari kuna ndugu yangu binadamu, binti ambaye alikuwa ametoka kwao iringa kaja mjini kuishi na familia yetu.Nakumbuka alikuwa ndio amemaliza darasa la saba so akaja kukaa home.

Yule binti alikuwa shapu sana na mchapakazi ingawa ndio hivyo hakuwa na uwezo wa ubunifu wa biashara au idea ya nini afanye. Mimi on the other hand kwa wakati ule nilikuwa nina vi idea kidogo. Siku moja nilitengeza juice (mimi nipo vizuri sana katika recipes za vinywaji organic especially matunda) nilitengeza juice, na avocado milk shake yenye vionjo vya vanilla na food colour. Yule binti alipoinywa ile kitu aliipenda sana akasema hii ataweza kuiuza na tukapata faida. Mimi kimoyo moyo na hata kwa kauli sikuungana nae nilimkatalia.

Nikamwambia kwa gharama ya kutengeneza na tukitaka kuuza watu hawatanunua watanzania hawapendi vitu vya kizungu labda wale wakishua wanaoishi masaki kule ila huku uswahilini hawatanunua maana hata sista wangu alishataka kuuza ice cream ila alifeli (sababu ilikuwa uhifadhi wa ice-cream container kuna utaratibu wake na friji za aina yake)

Basi alikuwa ananililia kila siku tutengeneze ajaribu kuuza. Mwishowe nikakubali. So nikatengeneza aina tatu ya products. Akaanza kutembeza (nachomsifu yule binti ni mpambanaji na vile hapa mjini sio mzaliwa so alikuwa anatembea bila noma. So huwezi amini hadi jioni zile dumu tatu zimekata na anasumbuliwa balaa....

Aisee ikabidi nistaajabu..... Anyways, nikaongeza mzigo ikawa natengeneza ndoo ndogo kwa kila product. Yaani ikawa zile ndoo ndogo hazikai zinakata hata mchana haujaisha. Kuna watu wakawa wanaweka order ya ndoo nzima anataka so hadi wale wengine wanakosa. Biashara ili boom, na mapato yalianza kuonekana kwa kifupi nilipata pesa ya kufanya mambo mengi kwa wakati ule na yule dada alianza kupata pesa ya kutuma kwa bi mkubwa wake, tukafungua sehemu ya bites and drinks na mambo yakaanza kusimama na kushika kasi hadi leo naongea ile kitu ni moja ya investment kubwa sana nilifanya na ilisaidia hata kunisomesha (sijasoma kwa mkopo wa serikali chuoni) imagine ningemdharau yule dada na kumkatalia kuwa hicho kitu hakitauzika (kuwa closed minded).

Nikaanza taratibu kuelewa kuwa muda mwingine sio vizuri kumkataa mtu na wazo lake na haujui yeye anaona nini ambacho wewe haukioni. Sasa huyu bwana mnaweza mkataa hapa ila kesho akikomaa hii baishara ikasimama mtarudi katika huu uzi na kuanza kusifia, kupongeza, na kujilaumu why hamkuona potential ndani ya maoni yake.....

Usipoelewa jambo haimaanishi huyo anaekwambia anaongea upuuzi au anaongea kitu kisicho na tija pengine unatakiwa ujifunze kwake na ujue jambo jipya.

Akina Newton walikuwa wanapondwa sana aidea zao ila leo tunawasoma darasani na ili mtu uonekane una akili ni lazima uclamishe yale mawazo yao na kuyajibia mtihani kisha unaitwa smart (so stupid).


Sent using Jamii Forums mobile app
Unamlinganishaje binti mpambanaji kama huyo na huyu jamaa anayetaka kupewa tu 150 million kwa ndoto yake ya mchana?
Digital marketing inahusisha fb, insta nk. Huko hata amefanikiwa kupata followers wa kutosha ndio afikirie kuna faala wa kumpa 150m? Aanze na kitu kisichohitaji hela nyingi kama social media marketing, na kikifanikiwa watu watampa tu mamilion wala hatakuja Jf kuomba.
Kwa mtindo huo, hatatimiza ndoto yeyote kubwa maishani. Zitabakia ndoto tu. Hata Fb ilianza kwa bweni bila hela yeyote, amazon kwa garage, nk. Watu wasitake kuanzia ngazi ya juu, maisha na biashara itakayosimama vizuri ni lazima uanzie ngazi ya chini
 
Post updated!
Katika kitu sipendi kwenye haya maisha ni kumwambia mtu jambo analotaka kufanya au ambalo ameanza kufanya kuwa halina maana.

Binadamu tumepewa vision tofuti sana. Mwenzako anaweza pewa maono ya kufanya kitu chenye thamani ya mamilioni ila kwasababu haupo katika vision yake utahisi anafanya pumba sana.

Moja ya kitu kilinibadilisha na kunipa upeo huu wa kuwaamini watu na kuwapa chance ya kuonyesha uwezo wao ni kipindi fulani hivi miaka nipo sekondari kuna ndugu yangu binadamu, binti ambaye alikuwa ametoka kwao iringa kaja mjini kuishi na familia yetu.Nakumbuka alikuwa ndio amemaliza darasa la saba so akaja kukaa home.

Yule binti alikuwa shapu sana na mchapakazi ingawa ndio hivyo hakuwa na uwezo wa ubunifu wa biashara au idea ya nini afanye. Mimi on the other hand kwa wakati ule nilikuwa nina vi idea kidogo. Siku moja nilitengeza juice (mimi nipo vizuri sana katika recipes za vinywaji organic especially matunda) nilitengeza juice, na avocado milk shake yenye vionjo vya vanilla na food colour. Yule binti alipoinywa ile kitu aliipenda sana akasema hii ataweza kuiuza na tukapata faida. Mimi kimoyo moyo na hata kwa kauli sikuungana nae nilimkatalia.

Nikamwambia kwa gharama ya kutengeneza na tukitaka kuuza watu hawatanunua watanzania hawapendi vitu vya kizungu labda wale wakishua wanaoishi masaki kule ila huku uswahilini hawatanunua maana hata sista wangu alishataka kuuza ice cream ila alifeli (sababu ilikuwa uhifadhi wa ice-cream container kuna utaratibu wake na friji za aina yake)

Basi alikuwa ananililia kila siku tutengeneze ajaribu kuuza. Mwishowe nikakubali. So nikatengeneza aina tatu ya products. Akaanza kutembeza (nachomsifu yule binti ni mpambanaji na vile hapa mjini sio mzaliwa so alikuwa anatembea bila noma. So huwezi amini hadi jioni zile dumu tatu zimekata na anasumbuliwa balaa....

Aisee ikabidi nistaajabu..... Anyways, nikaongeza mzigo ikawa natengeneza ndoo ndogo kwa kila product. Yaani ikawa zile ndoo ndogo hazikai zinakata hata mchana haujaisha. Kuna watu wakawa wanaweka order ya ndoo nzima anataka so hadi wale wengine wanakosa. Biashara ili boom, na mapato yalianza kuonekana kwa kifupi nilipata pesa ya kufanya mambo mengi kwa wakati ule na yule dada alianza kupata pesa ya kutuma kwa bi mkubwa wake, tukafungua sehemu ya bites and drinks na mambo yakaanza kusimama na kushika kasi hadi leo naongea ile kitu ni moja ya investment kubwa sana nilifanya na ilisaidia hata kunisomesha (sijasoma kwa mkopo wa serikali chuoni) imagine ningemdharau yule dada na kumkatalia kuwa hicho kitu hakitauzika (kuwa closed minded).

Nikaanza taratibu kuelewa kuwa muda mwingine sio vizuri kumkataa mtu na wazo lake na haujui yeye anaona nini ambacho wewe haukioni. Sasa huyu bwana mnaweza mkataa hapa ila kesho akikomaa hii baishara ikasimama mtarudi katika huu uzi na kuanza kusifia, kupongeza, na kujilaumu why hamkuona potential ndani ya maoni yake.....

Usipoelewa jambo haimaanishi huyo anaekwambia anaongea upuuzi au anaongea kitu kisicho na tija pengine unatakiwa ujifunze kwake na ujue jambo jipya.

Akina Newton walikuwa wanapondwa sana aidea zao ila leo tunawasoma darasani na ili mtu uonekane una akili ni lazima uclamishe yale mawazo yao na kuyajibia mtihani kisha unaitwa smart (so stupid).


Sent using Jamii Forums mobile app
Unamlinganishaje binti mpambanaji kama huyo na huyu jamaa anayetaka kupewa tu 150 million kwa ndoto yake ya mchana?
Digital marketing inahusisha fb, insta nk. Huko hata amefanikiwa kupata followers wa kutosha ndio afikirie kuna faala wa kumpa 150m? Aanze na kitu kisichohitaji hela nyingi kama social media marketing, na kikifanikiwa watu watampa tu mamilion wala hatakuja Jf kuomba.
Kwa mtindo huo, hatatimiza ndoto yeyote kubwa maishani. Zitabakia ndoto tu. Hata Fb ilianza kwa bweni bila hela yeyote, amazon kwa garage, nk. Watu wasitake kuanzia ngazi ya juu, maisha na biashara itakayosimama vizuri ni lazima uanzie ngazi ya chini
 
Unamlinganishaje binti mpambanaji kama huyo na huyu jamaa anayetaka kupewa tu 150 million kwa ndoto yake ya mchana?
Digital marketing inahusisha fb, insta nk. Huko hata amefanikiwa kupata followers wa kutosha ndio afikirie kuna faala wa kumpa 150m? Aanze na kitu kisichohitaji hela nyingi kama social media marketing, na kikifanikiwa watu watampa tu mamilion wala hatakuja Jf kuomba.
Kwa mtindo huo, hatatimiza ndoto yeyote kubwa maishani. Zitabakia ndoto tu. Hata Fb ilianza kwa bweni bila hela yeyote, amazon kwa garage, nk. Watu wasitake kuanzia ngazi ya juu, maisha na biashara itakayosimama vizuri ni lazima uanzie ngazi ya chini
Mifano yako haiko valid kabisa, Mack wa FB walianza na rafiki yake mtoto wa Millionaire mkubwa amemwagia pesa nyingi sana mwanzoni, uyo Bezos wazizi wake Mamamillionaire kwa wakati wao walimpa mtoto wao Billion za pesa kuanza harakati uko gereji unaposema, pia wazazi wake ni watu wazito wenye Connection kubwa mpaka wanajuana na Warren Buffert ambaye Billionaire mkubwa mzazi wa Bezos alimwambia Warren mwanangu ana ka Startup kake unaweza kuwekeza pesa Imagine...kitanzaniatanzania kama mzazi wako anaweza kukaa meza moja na MO nakupiga story.

Munapotoa mifano mutoe yenye uharisia afafhari mutoe kwa Kenya japo ndio kuna near the same ecosystem.
 
Mifano yako haiko valid kabisa, Mack wa FB walianza na rafiki yake mtoto wa Millionaire mkubwa amemwagia pesa nyingi sana mwanzoni, uyo Bezos wazizi wake Mamamillionaire kwa wakati wao walimpa mtoto wao Billion za pesa kuanza harakati uko gereji unaposema, pia wazazi wake ni watu wazito wenye Connection kubwa mpaka wanajuana na Warren Buffert ambaye Billionaire mkubwa mzazi wa Bezos alimwambia Warren mwanangu ana ka Startup kake unaweza kuwekeza pesa Imagine...kitanzaniatanzania kama mzazi wako anaweza kukaa meza moja na MO nakupiga story.

Munapotoa mifano mutoe yenye uharisia afafhari mutoe kwa Kenya japo ndio kuna near the same ecosystem.
Kwani huyo alieleta hii mada ww unamjua? Kwani wazazi wake hawawezi kuwa na uwezo? FB na Amazon ninachoongelea ni kwamba hawakuweka 150 million dollars mwanzoni. Walianza small. In a garage and dormitory. Hicho ndio watu mkielewe. Mtu ambaye hata hajasema amefanikiwa biashara gani atapata mtu tanzania wa kumwagia 150 million tshs? Hauoni hio ni ndoto isio halisi aisee?
 
Mifano yako haiko valid kabisa, Mack wa FB walianza na rafiki yake mtoto wa Millionaire mkubwa amemwagia pesa nyingi sana mwanzoni, uyo Bezos wazizi wake Mamamillionaire kwa wakati wao walimpa mtoto wao Billion za pesa kuanza harakati uko gereji unaposema, pia wazazi wake ni watu wazito wenye Connection kubwa mpaka wanajuana na Warren Buffert ambaye Billionaire mkubwa mzazi wa Bezos alimwambia Warren mwanangu ana ka Startup kake unaweza kuwekeza pesa Imagine...kitanzaniatanzania kama mzazi wako anaweza kukaa meza moja na MO nakupiga story.

Munapotoa mifano mutoe yenye uharisia afafhari mutoe kwa Kenya japo ndio kuna near the same ecosystem.
Iko valid sana. Soma vizuri. Ww unaangalia tu kitu fulani kitakachoendana na fikra zako ili kupinga maelezo niliyoweka. Soma tena post yangu. Ninachoongelea ni kuanza small. Mie siongelei uwezo wa wazazi.
 
Mifano yako haiko valid kabisa, Mack wa FB walianza na rafiki yake mtoto wa Millionaire mkubwa amemwagia pesa nyingi sana mwanzoni, uyo Bezos wazizi wake Mamamillionaire kwa wakati wao walimpa mtoto wao Billion za pesa kuanza harakati uko gereji unaposema, pia wazazi wake ni watu wazito wenye Connection kubwa mpaka wanajuana na Warren Buffert ambaye Billionaire mkubwa mzazi wa Bezos alimwambia Warren mwanangu ana ka Startup kake unaweza kuwekeza pesa Imagine...kitanzaniatanzania kama mzazi wako anaweza kukaa meza moja na MO nakupiga story.

Munapotoa mifano mutoe yenye uharisia afafhari mutoe kwa Kenya japo ndio kuna near the same ecosystem.
Wazazi wa Jeff Bezos wali-invest US$ 250,000 peke yake wakati kampuni inaundwa. Leo kampuni value yake ni $1.5 trillion. Manake $1,500,000,000,000. From $250k.
 
Wazazi wa Jeff Bezos wali-invest US$ 250,000. Leo kampuni value yake ni $1.5 trillion. Manake $1,500,000,000,000. From $250k. Also kwa USA $250k wala sio hela nyingi.
Finally umekubali kwamba ulikuwa brainwashed na theory.

Mosi, Dollars 250K ni sawa na around Million 500 in Tzs ni pesa nyingi kokote pale hapa Duniani...Money Value hiyo pesa kwakipindi hiko nisawa na Billions+ kama hutakuwa timamu kichwani.

Pili, Mzazi gani wakawaida anaweza ku-invest kwa mtoto wake Billion+ ni wangapi, huko mbali 100K hakupi, mtoa mada ana mzazi huyo kama wa Bezos.

Munapotoa mifano sio munaandika andika tu nyuma ya Keyboard ooh “mfano nani small” WTF small mtu kawekewa Billions kwenye account na babayake ujinga, ooh Kwenye garage babayako anayo hata hiyo garage kwenu.
 
Katika kitu sipendi kwenye haya maisha ni kumwambia mtu jambo analotaka kufanya au ambalo ameanza kufanya kuwa halina maana.

Binadamu tumepewa vision tofuti sana. Mwenzako anaweza pewa maono ya kufanya kitu chenye thamani ya mamilioni ila kwasababu haupo katika vision yake utahisi anafanya pumba sana.

Moja ya kitu kilinibadilisha na kunipa upeo huu wa kuwaamini watu na kuwapa chance ya kuonyesha uwezo wao ni kipindi fulani hivi miaka nipo sekondari kuna ndugu yangu binadamu, binti ambaye alikuwa ametoka kwao iringa kaja mjini kuishi na familia yetu.Nakumbuka alikuwa ndio amemaliza darasa la saba so akaja kukaa home.

Yule binti alikuwa shapu sana na mchapakazi ingawa ndio hivyo hakuwa na uwezo wa ubunifu wa biashara au idea ya nini afanye. Mimi on the other hand kwa wakati ule nilikuwa nina vi idea kidogo. Siku moja nilitengeza juice (mimi nipo vizuri sana katika recipes za vinywaji organic especially matunda) nilitengeza juice, na avocado milk shake yenye vionjo vya vanilla na food colour. Yule binti alipoinywa ile kitu aliipenda sana akasema hii ataweza kuiuza na tukapata faida. Mimi kimoyo moyo na hata kwa kauli sikuungana nae nilimkatalia.

Nikamwambia kwa gharama ya kutengeneza na tukitaka kuuza watu hawatanunua watanzania hawapendi vitu vya kizungu labda wale wakishua wanaoishi masaki kule ila huku uswahilini hawatanunua maana hata sista wangu alishataka kuuza ice cream ila alifeli (sababu ilikuwa uhifadhi wa ice-cream container kuna utaratibu wake na friji za aina yake)

Basi alikuwa ananililia kila siku tutengeneze ajaribu kuuza. Mwishowe nikakubali. So nikatengeneza aina tatu ya products. Akaanza kutembeza (nachomsifu yule binti ni mpambanaji na vile hapa mjini sio mzaliwa so alikuwa anatembea bila noma. So huwezi amini hadi jioni zile dumu tatu zimekata na anasumbuliwa balaa....

Aisee ikabidi nistaajabu..... Anyways, nikaongeza mzigo ikawa natengeneza ndoo ndogo kwa kila product. Yaani ikawa zile ndoo ndogo hazikai zinakata hata mchana haujaisha. Kuna watu wakawa wanaweka order ya ndoo nzima anataka so hadi wale wengine wanakosa. Biashara ili boom, na mapato yalianza kuonekana kwa kifupi nilipata pesa ya kufanya mambo mengi kwa wakati ule na yule dada alianza kupata pesa ya kutuma kwa bi mkubwa wake, tukafungua sehemu ya bites and drinks na mambo yakaanza kusimama na kushika kasi hadi leo naongea ile kitu ni moja ya investment kubwa sana nilifanya na ilisaidia hata kunisomesha (sijasoma kwa mkopo wa serikali chuoni) imagine ningemdharau yule dada na kumkatalia kuwa hicho kitu hakitauzika (kuwa closed minded).

Nikaanza taratibu kuelewa kuwa muda mwingine sio vizuri kumkataa mtu na wazo lake na haujui yeye anaona nini ambacho wewe haukioni. Sasa huyu bwana mnaweza mkataa hapa ila kesho akikomaa hii baishara ikasimama mtarudi katika huu uzi na kuanza kusifia, kupongeza, na kujilaumu why hamkuona potential ndani ya maoni yake.....

Usipoelewa jambo haimaanishi huyo anaekwambia anaongea upuuzi au anaongea kitu kisicho na tija pengine unatakiwa ujifunze kwake na ujue jambo jipya.

Akina Newton walikuwa wanapondwa sana aidea zao ila leo tunawasoma darasani na ili mtu uonekane una akili ni lazima uclamishe yale mawazo yao na kuyajibia mtihani kisha unaitwa smart (so stupid).


Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah uko vizuri chief! Sio sawa kumdharau mtu au kusambaza negativity. I really dislike negative energies!
 
Finally umekubali kwamba ulikuwa brainwashed na theory.

Mosi, Dollars 250K ni sawa na around Million 500 in Tzs ni pesa nyingi kokote pale hapa Duniani...Money Value hiyo pesa kwakipindi hiko nisawa na Billions+ kama hutakuwa timamu kichwani.

Pili, Mzazi gani wakawaida anaweza ku-invest kwa mtoto wake Billion+ ni wangapi, huko mbali 100K hakupi, mtoa mada ana mzazi huyo kama wa Bezos.

Munapotoa mifano sio munaandika andika tu nyuma ya Keyboard ooh “mfano nani small” WTF small mtu kawekewa Billions kwenye account na babayake ujinga, ooh Kwenye garage babayako anayo hata hiyo garage kwenu.
😂😂😂. Unalinganishaje usd 250k iliyowekezwa USA eti na 500 million tshs. Ww bado sana mambo ya investment. Hata sijui kwa nini NAONGEA NA WW. NAJARIBISHA KUKUELIMISHA LAKINI NIMESHAGUNDUA LEVEL YAKO NI NDOGO SANA.

USA in google, apple, fb, amazon etc ambazo ni world's top company. Kwa hio mtu akiwekeza 250k in usa, usifikirie mtu huyo huyo atawekeza 250k in tanzania. Unanichekesha sana
 
Yeah uko vizuri chief! Sio sawa kumdharau mtu au kusambaza negativity. I really dislike negative energies!
Aaagh. Extrovert. Usiniangushe leo mkuu. 😂😂😂😂.
Yes. Nakubaliana na ww kwamba negativities sio nzuri. Ila reality ni muhimu. Ni kama miki sasa hivi na kiaka thelathini na kitu kusema nataka kuchezea Man U. Ni ndoto isio halisi
 
Back
Top Bottom