Kwakweli kwa hali hii sijui ni kiongozi gani atakayekuja kuokoa hili jahazi linalotusumbua wananchi kutokana na makali haya ya mgao wa umeme pamoja na kupanda kwa gharama hii ya nishati ya umeme! Big Up Kipanya lunch yangu itashuka vizuri leo.
Ikulu haikimbiliwi, wanaoenda ikulu wana malengo. Ukiona mtu anataka kwenda ikulu just kwenda ujue ikulu itamshinda. Kama unamipango au washauri wako wanamipango madhubuti na unawasikiliza ikulu ni mzuri. Kaeni chini wale wote wanaotaka kwenda ikulu mjiulize mnataka kwenda ikulu kufanya nini.
Asante sana Masoud Kipanya (KP) si tu kwa katuni yako hii bali pia kwa katuni nyingine za kizalendo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.