Wazo la kuuza vocha za jumla, max malipo na startimes kwa mwanza mjini

RORYAKWETU

Member
Nov 18, 2011
83
13
Mimi ni mhitimu wa elimu ya juu mwaka huu na katika tathmini yangu swala la kusubiria ajira inaweza kusababisha ndoto zangu zisitimie kwani napoteza muda kwani wakati mwingine najikuta nikitamani hata kufanya kazi ilimradi niweze kujikimu kitu ambacho kwa maisha ya sasa ni hatari sana.
Mimi nina uwezo wa kupata mtaji wa milioni tano tu fedha za kitanzania hivyo kwa sababu naamini kuwa hili ni jukwaa la biashara na ujasiriamali naomba michango yenu ya kimawazo kuhusiana na wazo la kuwa wakala wa kuuza vocha za jumla, luku na startimes. Napendelea biashara hii kwani si hatari kwangu mimi ambaye ndiyo naanza ukizingatia nina mtaji mdogo.
Lengo langu ni kuwa kupata kazi niipendayo mimi na si ya kuchaguliwa na ndugu au wazazi ndiyo maana nahitaji kujishughulisha ili kukuza kipato changu ili nijitegemea kwa kiasi kikubwa na kuwa katika nafasi nzuri ya kutimiza hili lengo langu.
Mimi naamini kuwa maisha bora yanawezekana kama vijana wengi watajengewa uwezo wa kujitegemea
Asanteni sana na mungu awabariki
 
Mimi ni mhitimu wa elimu ya juu mwaka huu na katika tathmini yangu swala la kusubiria ajira inaweza kusababisha ndoto zangu zisitimie kwani napoteza muda kwani wakati mwingine najikuta nikitamani hata kufanya kazi ilimradi niweze kujikimu kitu ambacho kwa maisha ya sasa ni hatari sana.
Mimi nina uwezo wa kupata mtaji wa milioni tano tu fedha za kitanzania hivyo kwa sababu naamini kuwa hili ni jukwaa la biashara na ujasiriamali naomba michango yenu ya kimawazo kuhusiana na wazo la kuwa wakala wa kuuza vocha za jumla, luku na startimes. Napendelea biashara hii kwani si hatari kwangu mimi ambaye ndiyo naanza ukizingatia nina mtaji mdogo.
Lengo langu ni kuwa kupata kazi niipendayo mimi na si ya kuchaguliwa na ndugu au wazazi ndiyo maana nahitaji kujishughulisha ili kukuza kipato changu ili nijitegemea kwa kiasi kikubwa na kuwa katika nafasi nzuri ya kutimiza hili lengo langu.
Mimi naamini kuwa maisha bora yanawezekana kama vijana wengi watajengewa uwezo wa kujitegemea
Asanteni sana na mungu awabariki

kweli kijana uamuzi wako ni wa busara sana na Mungu atakujalia na faida kubwa katika biashara yako hii. Ila kwavile umesema ni mauzo ya jumla ya vouchers MAXCOM na star times na Luku labda FAIDA YAKE itakuwa tofauti na yale mauzo ya MAXCOM. Mimi nina machine ya MAXCOM lakini faida yake ni ndogo sana maana vouchers za reja reja faida yake ni 5 percent mitandao mingine na 4.5 percent ni Tigo. So kweli faida yake siyo kubwa

Kama umefanya utafiti wa kutosha kuhusu faida ya jumla kwa vouchers na Star times na MAXCOM itakuwa vyema
Ninaomba niambie kwa kupitia private message je biashara hiyo kwa jumla inakuwa na faida kiasi gani na process zake.
I wish you all the best.
 
mimi pia ninampango wa kufanya hii biashara ila sina tips na hints za kuhusu mtaji, na hatimaye faida uimara na challenges zote ambazo nitakutana nazo katika biashara hii
 
Kwa mtaji wa TZS 80,000 tu, utaweza kutumia simu yako ya mkononi kukuingizia mapato ya uhakika kila mwezi (TZS 1 Million na zaidi) pamoja na mapato ya uwakala wa laini za simu.

Hii ni fursa ya uhakika na ushahidi wa kulipwa upo kama utataka kuona ushahidi wa malipo ambapo kuna mapato ya wiki na mapato ya mwezi ambayo unayapata kupitia kwenye account yako na unapata message wakati unalipwa.

Kwa wale watakaotaka kuchangamkia fursa hii mpya, tuwasiliane kwa namba hii 0772977330 au tembelea ofisini kwetu. Tupo Makumbusho Bus Terminal & Business Complex, Block A, Ghorofa ya kwanza (Juu ya Uchumi Supermarket), chumba namba FF-04, Dar es Salaam.
 
Kwa mtaji wa TZS 80,000 tu, utaweza kutumia simu yako ya mkononi kukuingizia mapato ya uhakika kila mwezi (TZS 1 Million na zaidi) pamoja na mapato ya uwakala wa laini za simu.

Hii ni fursa ya uhakika na ushahidi wa kulipwa upo kama utataka kuona ushahidi wa malipo ambapo kuna mapato ya wiki na mapato ya mwezi ambayo unayapata kupitia kwenye account yako na unapata message wakati unalipwa.

Kwa wale watakaotaka kuchangamkia fursa hii mpya, tuwasiliane kwa namba hii 0772977330 au tembelea ofisini kwetu. Tupo Makumbusho Bus Terminal & Business Complex, Block A, Ghorofa ya kwanza (Juu ya Uchumi Supermarket), chumba namba FF-04, Dar es Salaam.
Mh! Hii hapana, ebu changanua hiyo faida inapatikanaje kabla hujapigiwa simu
 
Back
Top Bottom