Kama kicha kinavyojieleza.
Mimi ni mwajiliwa katika taasisi flani nilianzia kazi mkoa A na mwanzoni mwa mwaka jana nilihamishiwa mkoa B.Huko mkoa B nimekutana na mfanyakazi mwenzangu ambaye tumetokea kuwa maswahiba hadi kufikia kupiga story za mahusiano cuz mchizi hajao na mimi bado cjaoa.
Katika story mbili tatu jamaa akaniambia yupo kwenye mahusiano na mke wa mtu na wanapendena mno na hawawezi achana cuz mahusiano yao yalianza toka wapo o level ila walishindwa funga pingu za maisha kwa sababu ya utofauti wa dini jamaa nimuislam na mwanamke ni mkristo.
Jamaa leo kanionesha picha ya huyo mwanamke lahaula nimekuta ni picha ya mke wa jamaa yangu niliyesoma nae chuo kikuu.Urafiki wetu lidumu hadi kufikia hatua ya kuwa kama ndugu.Baada ya jama kunionyesha picha nilipigwa na butwaa hadi mshikaji akaniuliza mbona kama umeshtuka ila nikajitahidi kuweka usanii ili asinidadisi zaidi
Kwa jinsi huyo shemeji yangu alivyo mpole,mstarabu,mchamungu ckuwahi kuwaza hata siku moja kama anaweza kuwa msaliti wa ndoa na mara nyingi niluwa namwambia namuomba mungu anipe mwanamke mwenye mienendo kama yako.
Jamaa yangu na yeye ni mchamungu,mpole,mstaarabu kwani kipindi tupo chuo alichangia kwa kiasi kikubwa kunirudisha kwenye mstari kwani mwaka wa kwanza nilikuwa nimepinda na nilikuwa naelekea katika shimo la jahanamu.
Nimejisikia uchungu utadhani kama mimi ndiyo mwenye mke hapa naandika huu uzi jamaa yangu ananipigia simu kama kawaida yetu ya kusalimiana ila nashindwa hata kupokea kwa maumivu niliyokuwa nayo moyoni.
Wanajamvi naombeni michango ya mawazo cuz akili yangu inanituma kesho nikamwelezi mfanyakazi mwenzangu kuhusu huyo mwanamke ila kwa jinsi alivyokuwa ananieleza nahisi kabisa hawataweza achana na huyo mwanamke
.
Mimi ni mwajiliwa katika taasisi flani nilianzia kazi mkoa A na mwanzoni mwa mwaka jana nilihamishiwa mkoa B.Huko mkoa B nimekutana na mfanyakazi mwenzangu ambaye tumetokea kuwa maswahiba hadi kufikia kupiga story za mahusiano cuz mchizi hajao na mimi bado cjaoa.
Katika story mbili tatu jamaa akaniambia yupo kwenye mahusiano na mke wa mtu na wanapendena mno na hawawezi achana cuz mahusiano yao yalianza toka wapo o level ila walishindwa funga pingu za maisha kwa sababu ya utofauti wa dini jamaa nimuislam na mwanamke ni mkristo.
Jamaa leo kanionesha picha ya huyo mwanamke lahaula nimekuta ni picha ya mke wa jamaa yangu niliyesoma nae chuo kikuu.Urafiki wetu lidumu hadi kufikia hatua ya kuwa kama ndugu.Baada ya jama kunionyesha picha nilipigwa na butwaa hadi mshikaji akaniuliza mbona kama umeshtuka ila nikajitahidi kuweka usanii ili asinidadisi zaidi
Kwa jinsi huyo shemeji yangu alivyo mpole,mstarabu,mchamungu ckuwahi kuwaza hata siku moja kama anaweza kuwa msaliti wa ndoa na mara nyingi niluwa namwambia namuomba mungu anipe mwanamke mwenye mienendo kama yako.
Jamaa yangu na yeye ni mchamungu,mpole,mstaarabu kwani kipindi tupo chuo alichangia kwa kiasi kikubwa kunirudisha kwenye mstari kwani mwaka wa kwanza nilikuwa nimepinda na nilikuwa naelekea katika shimo la jahanamu.
Nimejisikia uchungu utadhani kama mimi ndiyo mwenye mke hapa naandika huu uzi jamaa yangu ananipigia simu kama kawaida yetu ya kusalimiana ila nashindwa hata kupokea kwa maumivu niliyokuwa nayo moyoni.
Wanajamvi naombeni michango ya mawazo cuz akili yangu inanituma kesho nikamwelezi mfanyakazi mwenzangu kuhusu huyo mwanamke ila kwa jinsi alivyokuwa ananieleza nahisi kabisa hawataweza achana na huyo mwanamke
.