Jamani , Mimi sio Mwanachama wa siku Nyingi wa JF, Lakini tangia nimenza kushiriki ninaona kuna watu wengine Humu wana mawazo very constractive amabyo yanaweza kuijenga nchi yetu.
Ushauri nillionao kuwe na utaratibu wa kutengeneza report ya Wiki ya forum katika mambo mbalimabli yaliyo ongelewa then we can File them as valid contribution from wana forums.
Ninathani watu wanaweza kujitolea kufanya hizi summary , hizi sumary tunaweza kuzitengenea report ya Mwezi amabyo tutachagua mambo ya Muhimu na kufanya petition , amabyo itahitaji saini milioni Moja, then tunaweza kuziproposal hizi petition na kuziandika katika form ya propotion za kuboresha Legistration zetu au policy mbadala.
I am sure brookings Institute haikuanza hivi tu, Bali sisi ndio brookings institute ya Tanzania.
We can afford to let the contributions from this think tank just to go.
Ushauri nillionao kuwe na utaratibu wa kutengeneza report ya Wiki ya forum katika mambo mbalimabli yaliyo ongelewa then we can File them as valid contribution from wana forums.
Ninathani watu wanaweza kujitolea kufanya hizi summary , hizi sumary tunaweza kuzitengenea report ya Mwezi amabyo tutachagua mambo ya Muhimu na kufanya petition , amabyo itahitaji saini milioni Moja, then tunaweza kuziproposal hizi petition na kuziandika katika form ya propotion za kuboresha Legistration zetu au policy mbadala.
I am sure brookings Institute haikuanza hivi tu, Bali sisi ndio brookings institute ya Tanzania.
We can afford to let the contributions from this think tank just to go.