Kila nikitazama mwenendo wa fani mbalimbali katika nchi yetu ninaona upo umuhimu mkubwa wa wataalamu kuanzisha umoja kwa wana taaluma mbalimbali kuweza kukaa pamoja kujadili changamoto na fursa zilizoko katika taaluma yao ili kwa umoja wao waungane kuleta maendeleo katika taaluma yao na Taifa kwa aujumla.
Kwa muktadha huo ninapenda kuwakaribisha MECHANICAL ENGINEERS WOTE WA TANZANIA tukae tuunde umoja wetu ambao tutakuwa tukikaa kujadili changamoto na fursa zinazoikabili taaluma yetu ya mechanical na kutoa mapendekezo kwa wahusika ili watutengenezee mazingira bora.
karibu ujiunge na TANZANIA MECHNICAL ENGINEERS (TME) face book group ili tuweze kuungana na kuunda umoja wenye kutetea fursa na kuondoa changamoto kwa mechanical engineers
inia facebook search hilo group na jiunge kwa bure kabisa hakuna kiingilio chochote
Kwa muktadha huo ninapenda kuwakaribisha MECHANICAL ENGINEERS WOTE WA TANZANIA tukae tuunde umoja wetu ambao tutakuwa tukikaa kujadili changamoto na fursa zinazoikabili taaluma yetu ya mechanical na kutoa mapendekezo kwa wahusika ili watutengenezee mazingira bora.
karibu ujiunge na TANZANIA MECHNICAL ENGINEERS (TME) face book group ili tuweze kuungana na kuunda umoja wenye kutetea fursa na kuondoa changamoto kwa mechanical engineers
inia facebook search hilo group na jiunge kwa bure kabisa hakuna kiingilio chochote