Wazo kwa wilaya kigamboni anzisheni stand ya mabasi kwenda mikoa kwa kigamboni

ommytk

JF-Expert Member
Jul 30, 2015
482
1,053
Wazo kwa wilaya kigamboni kutokana geography ya eneo LA kigamboni kuanzisha stand mabasi mkoani itasaidia wananchi pia no chanzo cha mapato
 
Wazo kwa wilaya kigamboni kutokana geography ya eneo LA kigamboni kuanzisha stand mabasi mkoani itasaidia wananchi pia no chanzo cha mapato
Kigamboni stendi ya daladala tu bado mtihani pale ferry itakuwa magari ya mkoa!
Anyway sasahiv magari ya kusini na kaskazini yanapatikana kigamboni zipo branch, ila kwa stendi tuendelee kusubiri.
 
Kwa foleni hii ya dar yatafika saa ngapi mbeya tukuyu au mwanza?
 
Route ndefu sana iyo
hiyo ruti sio ndefu, sema serikali bado haijajenga njia pana ya kuzunguka jiji toka mkuranga hadi kisarawe na kibaha, trust me kungekuwa na njia hiyo pana ya kuzunguka jiji, ingesaidia sana,
kwa mkazi wa mbagala ama hiyo kigamboni, ni afadhali apande gari huko aende na safari zake kuliko kupambana na foleni za kati ya jiji ili kufika mbezi louis
 
hiyo ruti sio ndefu, sema serikali bado haijajenga njia pana ya kuzunguka jiji toka mkuranga hadi kisarawe na kibaha, trust me kungekuwa na njia hiyo pana ya kuzunguka jiji, ingesaidia sana,
kwa mkazi wa mbagala ama hiyo kigamboni, ni afadhali apande gari huko aende na safari zake kuliko kupambana na foleni za kati ya jiji ili kufika mbezi louis
Kuna njia imefunguliwa juzi kati hapo kifuru na dc wa kisarawe ila sina uhakika eeet inaunganisha kifuru na kisarawe may be wangetumia iyi ila bado ruti ni ndefu kuliko kuzunguka uko ni bora ubaki kwenye foleni au kama vipi wapande tu mwendokasi chap haraka mpaka mbezi louis stend mpya wapande gari wachape lapa fasta tu
 
Back
Top Bottom