Mathayo Christopher
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 410
- 283
Ikiwa leo ni siku ya 89 tangu serikali ya Rais Magufuli isitishe ajira 13 Juni 2016 na rais kawaahidi vijana haitazidi miezi miwili na uhalisia kesho tunamaliza miezi mitatu toka zuio la ajira lilipotolewa
Hii imezua sintofahamu ya nini hatima ya vijana hawa ambao wamekaa zaidi ya mwaka mmoja bila ajira na wamepewa kauli zitatoka mapema wawe na subira.JE NI KIPI KIPIMO CHA MAPEMA? Sasa tunaomba wahusika wawe wazi mwezi wa kutoa ajira na si kutoa kauli tata kama mapema ambayo kila mtu hufasiri anavyoelewa.
Natumaini ujumbe umefika
Hii imezua sintofahamu ya nini hatima ya vijana hawa ambao wamekaa zaidi ya mwaka mmoja bila ajira na wamepewa kauli zitatoka mapema wawe na subira.JE NI KIPI KIPIMO CHA MAPEMA? Sasa tunaomba wahusika wawe wazi mwezi wa kutoa ajira na si kutoa kauli tata kama mapema ambayo kila mtu hufasiri anavyoelewa.
Natumaini ujumbe umefika