Wazo jipya na ushauri wa bure

Mwanamageuko

JF-Expert Member
Oct 31, 2010
8,602
5,569
WANAOONA MH. ZK anawakera wahame wampishe ili wasikereke? Kwanini wakereke na vyama viko vingi? je kwanini kama kuna mtu hawamtaki wasimpishe akabaki na chama chake wao wakatokomelea mbali. Kwani chama si kabila, hakuna atakaewalaumu hata mmoja. :angry:

Mara atoke, afukuzwe, hivi nani ana hisa kati yenu ndani ya CDM?:angry:
(bahati yenu kuna neno nimelibana)
 
Nina tafuta fridge ya kutumia Umeme wa solar au fridge inayoweza kutumika kijijini ambako sitegemei Umeme labda mjukuu wake Ridhiwani Kikwete awe president
 
Hiyo mijitu imempa ZK cheo cha juu chamani! sijui nani wa kulaumiwa hapa!!! ni muda mzuri wa kufikiria kwa nini alipata hicho cheo na sio aondoke!!! sasa kama chamani hivi mkipewa dola si tutamwagana baharini jamani!

CDM is exposing herself,there is a long way to lead the government!!!!
 
mtoto wangu karibia anafikisha miaka miwili.

inabidi nianze kumtafutia shule.

mambo ya ada.

mara kuitwa kwenye vikao vya wazazi.
 
Hiyo mijitu imempa ZK cheo cha juu chamani! sijui nani wa kulaumiwa hapa!!! ni muda mzuri wa kufikiria kwa nini alipata hicho cheo na sio aondoke!!! sasa kama chamani hivi mkipewa dola si tutamwagana baharini jamani!

CDM is exposing herself,there is a long way to lead the government!!!!
Hongera Waberoya kwa kujiunga na kundi la kina Malaria Sugu na kina Sokomoko na kina Dar Es Salaam i wish you all the best.
 
WANAOONA MH. ZK anawakera wahame wampishe ili wasikereke? Kwanini wakereke na vyama viko vingi? je kwanini kama kuna mtu hawamtaki wasimpishe akabaki na chama chake wao wakatokomelea mbali. Kwani chama si kabila, hakuna atakaewalaumu hata mmoja. :angry:

Mara atoke, afukuzwe, hivi nani ana hisa kati yenu ndani ya CDM?:angry:
(bahati yenu kuna neno nimelibana)

hahaha!!!

mwenye nyumba ahame kumpisha mpangaji?

ndiyo maana tunasema mumejaa fikra za kiburi, na majivuno.

we don't need creeps in CDM.

nina wasiwasi na IQ yako uncle
 
WANAOONA MH. ZK anawakera wahame wampishe ili wasikereke? Kwanini wakereke na vyama viko vingi? je kwanini kama kuna mtu hawamtaki wasimpishe akabaki na chama chake wao wakatokomelea mbali. Kwani chama si kabila, hakuna atakaewalaumu hata mmoja. :angry:

Mara atoke, afukuzwe, hivi nani ana hisa kati yenu ndani ya CDM?:angry:
(bahati yenu kuna neno nimelibana)[/QUOT
Maneno ya

Maneno yako na umri wako tofauti, jifunze kutumia akili kabla ya kuropoka, ebooooo.
 
Only two things are infinite, the universe and human stupidity, and I'm not sure about the former." - Albert Einstein
 
Hongera Waberoya kwa kujiunga na kundi la kina Malaria Sugu na kina Sokomoko na kina Dar Es Salaam i wish you all the best.

Wow! thanks my dear! I was longing to be in such amazing group only known by you! which group are you then!, it seems we are in the same boat ! arent you!! I once told dont argue with a fool or..........LOL!
 
Wow! thanks my dear! I was longing to be in such amazing group only known by you! which group are you then!, it seems we are in the same boat ! arent you!! I once told dont argue with a fool or..........LOL!
Stupidity
 
CDM is exposing herself,there is a long way to lead the government!!!!

Once ulisema issue kama hii nikakujibu "Brick by brick...... Brick by brick.... Rome was not built in a day" Chadema has increased wabunge wake by about 500%....... Chadema has now became the biggest Chama Cha Upinzani Tanzania...... Then I told you kwamba that is what we call progress......

Ndugu yangu unaposema hiki akifai lazima uje na alternative.... Sio tu kuonyesha ufa badala ya kusema hapa tunaweza kupaziba vipi.
 
Hivi fikra zetu zinaishia kwa ZK tu?kila ukigeuka huku mada hiyo hiyo na wala hakuna kipya.
 
Once ulisema issue kama hii nikakujibu "Brick by brick...... Brick by brick.... Rome was not built in a day" Chadema has increased wabunge wake by about 500%....... Chadema has now became the biggest Chama Cha Upinzani Tanzania...... Then I told you kwamba that is what we call progress......

Ndugu yangu unaposema hiki akifai lazima uje na alternative.... Sio tu kuonyesha ufa badala ya kusema hapa tunaweza kupaziba vipi.

Huyu jamaa ni confuser..anyway, binafsi tayari nimemweka kwenye ignore list.
 
Once ulisema issue kama hii nikakujibu "Brick by brick...... Brick by brick.... Rome was not built in a day" Chadema has increased wabunge wake by about 500%....... Chadema has now became the biggest Chama Cha Upinzani Tanzania...... Then I told you kwamba that is what we call progress......

Ndugu yangu unaposema hiki akifai lazima uje na alternative.... Sio tu kuonyesha ufa badala ya kusema hapa tunaweza kupaziba vipi.
Ndugu ya VoR utachoka bure ku argue na Waberoya ni popo ndumilakuwili lengo lake ni kuchonganisha CDM na Zitto, leo atamsifia Zitto akigeuka anasema Zitto si wa kuaminiwa toka anasoma naye UDSM. Sisi tunaomuelewa tunamuona kama amechanganyikiwa tofauti na zamani fuatilia thread zake, siku hizi yuko kwenye group la washika vibendera kina Sokomoko na MS wa CUF-CCM na udini ndizo topic anazozifagilia.

Huyu Waberoya nilivyomsoma ni Zitto haters anajifanya sometimes kumtetea sometimes kumsagia lengo ili Zitto akose kotekote hii ni kutokana na grievances zao toka chuoni. Tunajua Zitto ana matatizo yake lakini usilete tofauti zenu kwenye mambo ya uongozi.

Hebu someni hapa eti Zitto ana mtambo wa kusaga kokoto yaani ni maneno yale ya umbea wa kike(samahani wa jinsia hiyo) ili kuleta mvurugano, Zitto mwenyewe alikanusha bahari hizi vikali anamuhusisha Zitto na uislam.

quote_icon.png
Originally Posted by Waberoya
icon1.png
Esoteric: Uhusiano wa Zitto, JK, Salim A.S, Ridhwan, Omar IIyas & then some Islams?
Mimi nimekuwa nikimfuatilia mheshimiwa Zitto, tangu alipoongoza mapinduzi ya kupindua serikali ya DARUSO mwaka 2002/2003 wakisaidiana na Ridhwan Kikwete na Omar Ilyas. Kipindi hicho nikiwa mmoja wa mawaziri wa serikali, ambayo ilipona kupinduliwa. Na tumekuwa wote ndani ya bunge la UDSM-USRC

Mimi personally nimekuwa muwazi sana na mkweli katika kila kitu kinacholigusa taifa hili na hasa uhuru wa mawazo na maoni ambao umedhihirika kuwa watanzania wengi sio kuwa hawana, bali huwa wepesi sana kuamini mambo na ni waoga kuonekana wanapingana na hali iliyopo.

Mtazamo huu umenifanya nimpende Zitto na JF members wowote wale ambo huwa wanapenda kufikiria nje ya box, au another direction/angle. Zitto amekuwa akinifurahisha kwa kuleta changamoto za kuleta mawazo tofauti na kile ambacho wengi huwa wanafikiria.

Zitto ni kweli anapenda sifa, kama binadamu mwingine yeyote yule, ila unapotaka sifa kwa kusimamia haki na ukweli na hasa unapopigania haki basi sifa hii ni sifa timilifu na inapendeza. Omar Ilyas naye alikuwa mmoja wao wa wanaopenda sifa ila kwa sasa naona amekua kidogo, nadhani Salim A Salim amemkuza.

Si nia yangu niwaharibie hawa jamaa , ila ni hali yangu kueleza ninachowaza baada ya kuwafuatilia hawa watu tangu enzi hizo. Sijajua status ya Omar Ilyas kwenye issue nzima za udini, siwezi kumtuhumu, personally nimemuona ni mtu mzuri tu na anayependa wote pasi kujali udini ila bado ni rafiki wa Zitto!

Tuendelee: Role model wa Zitto ni Salim A. Salim, rais bora kwake yeye ni Kikwete, MD bora aliyewahi kumsema yeye ni Rashid Idrisa yule wa TANESCO.

Tie, cord, umoja, Urafiki wa Zitto, Ridhwan, Omar Ilyas ni mkubwa sana kuliko maelezo, hili group lililotaka kuipindua serikali ya Kayombo-DARUSO, ili wao wapate madaraka si tu ni la hatari bali la kuangaliwa sana. Ridhwan amekuwa akijitetea sana yeye anataka ku-practise sheria hili hali kutaka uongozi amekuwa akitamani tangu siku nyingi sana.

Ukiwa rafiki na Ridhwan umekuwa rafiki wa Kikwete!!! Huwezi kuwa adui wa JK ukawa rafiki wa Ridhwan, JK si tu anampenda Ridhwan kama motto, bali kama mwanaCCM mwenzie aliye tayari kulinda interest zao.

Si ajabu Zitto kuwa alikuwa mmoja wa wanakamati ya bunge ya kuchunguza madini, maana JK anampenda Zitto, ambaye ni rafiki wa Ridhwan!

Alichotamka Juzi ni mwendelezo wa kumuonyesha JK kuwa yuko ‘NAYE' na yuko mbali na chadema na kuwa yeye hakuwa na mawazo kama wanachadema wengine!!!. Hakuishia hapo tu bali alisema JK amefanya mengi Kigoma! Hivyo hakuona sababu ya kutoka nje ya bunge, kwa hiyo hakwenda kabisa, Huu ujumbe haukuwa kwa wananchi, ulikuwa unaenda kwa JK rafiki yake! Hata kama JK kafanya mambo mengi huko jimboni kwake Kigoma ni wajibu wake kama rais na haikuwa zawadi.

Kilichonifanya nijiulize je what makes Zitto na JK kuwa marafiki? Je Zitto na JK walikuwa wanajuana kabla ya JK kuwa rais? Definitely Yes!

Je swali gumu na baya ambalo halina ushahidi ni je Zitto kuwa inclined kwa JK, Salim na kuwapenda baadhi ya viongozi wa kiislam je ni mdini?..........I mean chunguzeni hili. May be not! Kindly don't conclude! What Salim teaches Zito?? Salim is CCM, is Salim and JK close friends? Cause Ommy and Zitto are close friends, Ooh! Ommy ni personal assistant wa Salim, Nauliza Kama Ridh, Zitto, Ommy ni marafiki then Salim and JK ni maadui? Find out please. However, we all know JK ni mdini, maana alianza harakati za udini tangu akiwa UDSM miaka hiyo….na hili fuatilieni

Nani anayejua Zitto ana mtambo wa kusaga kokoto na alipata tender ya barabara ku-supply kokoto? Is he defending his interest indirectly?

Au ni kuwa ni great thinker ambaye anaishi kwa falsafa zake ambazo hatuzijui! Je mnafikiri Zitto kuwaambia waandishi wa habari yaliyojiri ndani ya chadema alikuwa hajui watu watamrudi? Who is greater to him? JK, wananchi wake Kigoma, mali au?

I mean we should be careful na watu kama Zitto yes they are bright, mmh! But they might be dangerous for the opposition existence. But we should examine him carefully and not judge him. Nimegusia tu swala la uislam maana mpaka leo kuna baadhi ya waislamu wanaofikiri kuwa wanaiweza kuigawa nchi hii kidini, na kuna wakristo wanaofikiri wanaweza kuigawa nchi hii kidini.

That's bringing another bitter question how far do we believe these opposition leaders? I mean all!

That said, I am just thinking
 
Stupidity

welcome!! I have never used such kind of words in all years that I have been member in JF! I am kindly asking you with all humanly possible words not to use that words. Go back to my post what I told you is that, if you feel someone is posting craps simply dont even reply doing so will make one of them, I have not confirmed your stupidity yet never will think of that may be after your next post

Once ulisema issue kama hii nikakujibu "Brick by brick...... Brick by brick.... Rome was not built in a day" Chadema has increased wabunge wake by about 500%....... Chadema has now became the biggest Chama Cha Upinzani Tanzania...... Then I told you kwamba that is what we call progress......

Ndugu yangu unaposema hiki akifai lazima uje na alternative.... Sio tu kuonyesha ufa badala ya kusema hapa tunaweza kupaziba vipi.

My dear VoR I dont what to give you big assignment to peruse my all posts about chadema since 2008 in JF!!! all I can say is that chadema is opposition party in a country which is not existing. If we dont have new constitution and if we will not overhaul NEC then there will be no opposition by any means, will be wastage of time The move that chadema is doing now is supportive and I am with them, will support them by any means. Ila sitakaa kimya nikiona kitu fulani kinakosewa ndani ya chadema au chama chochote kile, mimi sio mshabiki ni mwanamageuzi, na ukiona chadema inasemwa jua imeonwa then criticism is rules of game here, so that we may have good political party in near future.

You want me to say what?? kuziba ufa?? how many members in JF have requested chadema to change top leaders? they should conduct fair elections within the party?

kwenye siasa, opponent wako anaweza kusema lolote ili ukakosa kura!!! issue za undugu, ukabila,mbowe kula fedha, ukwe wa mtei na Mbowe, wanachadema kulalamika mikoani, na sasa udini ni vitu tunavyopiga kelele wahakikishe wafanye wanavyoweza kucheza kete sahihi ili kupata watu wa kuwapigia kura ambao watakuwa na confidence na chama chao!!

VoR huwa nasema je kuna mtoto out there anayeweza kusema atakuwa rais kupitia chademas ?? hakuna demokrasia within the party!

Chadema hii ya sasa wanasikia na wabadilika, I am telling you it was not like this!!

Kaka hata Slaa leo angekuwa rais still watu wangemsema kama wanavyomsema JK, obama analijua hilo

This challenge is catalyst to do more and to be ready for bigger things!!! ukichanganyikiwa na post ya waberoya vipi kuhusu nakala za Jnerali Ulimwengu, Maggid n. zinzowafikia maelfu in one day!!

we are not against chadema, we are standing in the truth and only truth will prevail, iwe kwa ccm, chadema, cuf, NGO, JF, Yanga, kanisani n.k

cheers
 
Ndugu ya VoR utachoka bure ku argue na Waberoya ni popo ndumilakuwili lengo lake ni kuchonganisha CDM na Zitto, leo atamsifia Zitto akigeuka anasema Zitto si wa kuaminiwa toka anasoma naye UDSM. Sisi tunaomuelewa tunamuona kama amechanganyikiwa tofauti na zamani fuatilia thread zake, siku hizi yuko kwenye group la washika vibendera kina Sokomoko na MS wa CUF-CCM na udini ndizo topic anazozifagilia.

Huyu Waberoya nilivyomsoma ni Zitto haters anajifanya sometimes kumtetea sometimes kumsagia lengo ili Zitto akose kotekote hii ni kutokana na grievances zao toka chuoni. Tunajua Zitto ana matatizo yake lakini usilete tofauti zenu kwenye mambo ya uongozi.

Hebu someni hapa eti Zitto ana mtambo wa kusaga kokoto yaani ni maneno yale ya umbea wa kike(samahani wa jinsia hiyo) ili kuleta mvurugano, Zitto mwenyewe alikanusha bahari hizi vikali anamuhusisha Zitto na uislam.

Nilimaliza kwa kusema 'That said, I am just thinking'!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Ndio tofauti yetu kubwa hapa! nasema ukweli unapotakiwa, sina ushabiki, leo nitakupinga kwa hili na kesho nitakusupport kwa lile that we call uhuru wa mawazo na sio utumwa wa mawazo.

so unataka kusema kuwa nilivyoandika hiyo article, basi ndio ninamchukia Zitto, angalia nimeandika kwa mtindo wa maswali na Zitto alijibu humu kimoja baada ya kingine, tulimaliza na tunaendelea mbele!! wewe ukirudi nyuma kuna ku-expose jinsi gani yule unayemshabikia akikosea basi huwezi kumkosoa!! si sahihi kwa forum

lugha ya matusi siijui, wala calling names sizifahamu, ila nimeona wengi wakija na kuondoka wenye approach kama zako, maana muda wote mnakuwa na pressure na kutafuta mchawi, mimi nasimamia ukweli, fuatilia historia yangu.

Ukweli ni kuwa nampenda Zitto, na kuuliza swali lolote lile hata la kusikia kwangu mimi ni kuitendea nafsi moyo wangu

Believe me, baada ya ile post nikajua mengi sana yaliyotokea kigoma kwenye uchaguzi wa chadema ambacho wewe unakililia humu!! najua in and out nini kinaendelea ndani ya chama,na tatizo liko wapi. Zitto kwa ujasiri mkubwa alikiri ile statement kuhusu JK alikosea unataka nisema nini tena, nimwadhibu au niwe kipofu kama wewe/

mchango wa Zito kwa upinzani ni mkubwa mno, in chadema i can rank him second to none!! lakini huyu mtu ninapokuwa na wasiwasi lazima niulize. Unauliza mtambo? Zito alipokataa humu, nilfuatilia tena, maana kazi zangu ni hizo. na kuleta taarifa hapa ni kutaka kujua ukweli ndiyo maana ya forum.

Unataka kujua msimao wangu na ni wapi nimekosana na uongozi wenu? mlipokataa tu uchaguzi wa mwenyekiti wa chama, ambao najua zitto angeshinda!! kuanzia hapo nikaizika demokrasia ya cdm ikawa domokrasia!!!

Udini? is not everyone's worries kama nampenda Zito, nataka nijue misimamo yake ,mbona alijibu?

umeona wapi zaidi ya post/thread hiyo nimemkandia Zitto?? ukiipata naacha uanachama humu!!

uognozi wa chadema hauwezi ukachanganyikiwa kwa post zangu, utakuwa umeniinua sana, kwani unanijua?

My worries are over, I have confirmed what was disturbing me, what more do you want? unataka nikuambie mimi mwanachama wa chadema ndio ufurahi? unataka nikuambie?

kifupi uwe na uhuru wa mawazo mkuu, wanaonifahamu wananijua misimamo yangu. sina mkumbo!! hata Slaa analijua vyema hilo,maana ni ndugu mmoja ndani ya JF!!! I am like that , sijaku-ignore wewe uliyejiunga mwaka huu july! note that

Nikaja kujua mengi sana, ya akina Ngurumo, Kibanda, Kubenea n.k, kwa nini waandike article za kuhusu zito wakati nao ni wamoja wao? you know why? thats what we say think!!

you know what, I like Zitto and Mnyika more than anybody in chadema take my words(they have ability), and you know what I hate Mtei kuleta Unyerere ndani ya chadema, that is my words, that is me!! any more words ni wewe mimi simo!! muulize kama nyika sijawahi kumwashia moto na kumsifia.Mbowe tu sijawahi kuwasiliananaye ana kwa ana, because I dont think I will learn anything from him! he is supposed to be mweka hazina wa chama na sio mwenyekiti (mawazo yangu na sio tusi)

samahani kuhusu umbea, then forums is all about that!! huwa tunaanzaga na umbea na watu wanaleta vithibitisho, ndio jamboforums imekuwa hivyo, kama halina vithibitisho basi ni uongo na watu hupiga chini na kuendelea, Ila wote walioleta taarifa humu sijaona kuwa walikuwa wanawake, japo hujanijua jinsia yangu. wala kwa maneno yako haina maana mama yako ni mbeya kwa sababu ni-wakike! sidhanii kabisa kama ana tabia hiyo, labda kama ulimshuhudia live! na akama ulimshuhudia still huwezi ukasema a-kike wote ni wambea huyo atakuwa mama yako tu! ungesema tu umbeya ingetosha, maana habari za akina EL, RA, zilianza kama kuuliza tu!!! hupo hapo???


so unataka ni retract hayo maneno uliyo-highlight unataka nisemeje? nilikosea? no, sijakuelewa unataka niseme sikuandika? then unataka nionekane nani mnafiki kwa sababu UNAMCHUKIA ZITO ULIIFURAHIA HIYO POST YANGU NA LEO NINAMPOSIFIA UNAJIONA SIKO UPANDE WAKO NA KUNIITA MNAFIKI!!!!! dont get it! inabidi nicheke!

what is your take ukitaka niandike article ya kumsafisha Zitto baada ya hiyo article yangu nitafanya hivyo ili ujue niko upande wake, ila nikfanya hivyo uwe tayari kuwabeba wengi watakaoanguka ndani ya chama chako,AU UNATAKA NIENDELEE KUNAIDKA KUWA NAMCHUKIA ilai uzidi kufurahi na kuburudika mimi si mmoja wao, name what you can but this is me! and that what I believe! I asked him to remove my worries, andI am set to be against him in any worng move! But will continue to support him in anything good!! whats wrong with that my dear?/

umeji-expose kwa kuwa mfuata mkumbo na usiyejifikiria aibu hii!
 
mimi sio mshabiki ni mwanamageuzi, na ukiona chadema inasemwa jua imeonwa then criticism is rules of game here, so that we may have good political party in near future.

Thanks a lot kama tupo pamoja....... I thought wameshakuchakachua :smiling:........ Aluta Continua........
 
welcome!! I have never used such kind of words in all years that I have been member in JF! I am kindly asking you with all humanly possible words not to use that words. Go back to my post what I told you is that, if you feel someone is posting craps simply dont even reply doing so will make one of them, I have not confirmed your stupidity yet never will think of that may be after your next post



My dear VoR I dont what to give you big assignment to peruse my all posts about chadema since 2008 in JF!!! all I can say is that chadema is opposition party in a country which is not existing. If we dont have new constitution and if we will not overhaul NEC then there will be no opposition by any means, will be wastage of time The move that chadema is doing now is supportive and I am with them, will support them by any means. Ila sitakaa kimya nikiona kitu fulani kinakosewa ndani ya chadema au chama chochote kile, mimi sio mshabiki ni mwanamageuzi, na ukiona chadema inasemwa jua imeonwa then criticism is rules of game here, so that we may have good political party in near future.

You want me to say what?? kuziba ufa?? how many members in JF have requested chadema to change top leaders? they should conduct fair elections within the party?

kwenye siasa, opponent wako anaweza kusema lolote ili ukakosa kura!!! issue za undugu, ukabila,mbowe kula fedha, ukwe wa mtei na Mbowe, wanachadema kulalamika mikoani, na sasa udini ni vitu tunavyopiga kelele wahakikishe wafanye wanavyoweza kucheza kete sahihi ili kupata watu wa kuwapigia kura ambao watakuwa na confidence na chama chao!!

VoR huwa nasema je kuna mtoto out there anayeweza kusema atakuwa rais kupitia chademas ?? hakuna demokrasia within the party!

Chadema hii ya sasa wanasikia na wabadilika, I am telling you it was not like this!!

Kaka hata Slaa leo angekuwa rais still watu wangemsema kama wanavyomsema JK, obama analijua hilo

This challenge is catalyst to do more and to be ready for bigger things!!! ukichanganyikiwa na post ya waberoya vipi kuhusu nakala za Jnerali Ulimwengu, Maggid n. zinzowafikia maelfu in one day!!

we are not against chadema, we are standing in the truth and only truth will prevail, iwe kwa ccm, chadema, cuf, NGO, JF, Yanga, kanisani n.k

cheers

crapist
 
Back
Top Bottom