Huyu ndio kachukua tabia ya babake kabisa Ni humble sanaMkuu kwa Huseein Mwinyi huyo jamaa sijui hayo malezi ameyapata wapi ya kuwa muungwana pamoja na kuwa na cheo kikubwa.
Sijawahi kumsikia kabisa akiongea maneno ya kujitweza kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amuulize kwanza kagame kilimpata Nini alivyopiga marufuku mitumba?Unapiga marufuku mitumba halafu una import nguo mpya toka Uturuki na China...
Anataka kuturundisha kwenye kuvaa zile fulana zilizoandikwa kaa chonjo saa mbayaHivi Zungu Anafikiri kwamba huko kijijini nako kuna maduka ya nguo kila kona kama ilivyo Kariakoo?
Ifike mahala viongozi wafikirie kimapana wasifikirie kama wako kwenye chupa kwamba Tanzania nzima iko kama dar.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule chapombe kapewa uwaziri tutakoma mwaka huuNilikuwa naona zungu ni mtu wa heshima kumbe ndio hivyo mpeni pole Kama ndio fikira zake zimeishia hapo
Kumbe kalevi Kama waitara
Huyu masalia ya muhindi sijui mwarabu mchafu huwa anaropokaga tu.Nikushukuru sana Rais kwa kuniamini na kuniteua kuwa Waziri, wakati nakuja Watu waliniuliza utavaa nguo zako za mitumba au utavaa kitu kipya, lakini leo nimetia suti mpya, maana hata hiyo mitumba ni sehemu ya mazingira na ni sehemu ambayo inachafua hadhi ya Nchi yetu.
Rais Magufuli umefanikiwa sana kupiga vita mifuko ya Plastic, lakini sasa mifuko hiyo inarudi kwa njia za pembeni, vifungashio (packages) sasa vinaboreshwa na Watu wanabebea vitu na kuharibu mazingira, watu wa NEMC tuulize kwanini vitu hivi viko mitaani, nitalifanyia kazi.
Kwa Watu wa Wizarani (Muungano na Mazingira) urafiki upo lakini kwenye kazi za Umma hatutofanya urafiki, tukikutana nje ya kazi za Umma tutaendelea na Urafiki wetu.
Amakweli mwenye shibe kamwe hamjui mwenye njaaa sasa tusubiri mapya ya kupiga marufuku mitumba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana sembe ilimuachia makovu kwenye ubongoHuyu masalia ya muhindi sijui mwarabu mchafu huwa anaropokaga tu.
Kumbe ni hulka yake. Maana mwaka huu amekuja na kodi ya simu iongezwe etu ya uzalendo ingali yeye anapata zaidi ya milioni 11 kwa mwezi kama mshahara na marupurupu ukiacha vikao vya bunge ambayo ni 230 K kwa kikao.