ngurutu
Member
- Mar 31, 2017
- 54
- 50
Moja kati ya wizara ambayo inatoa nafasi za kazi kwa idadi kubwa ni pamoja na wizara yako nasihivyo tu wizara yako nikimbilio kwa vijana wa kimaskini hasa kazi za majeshi,pia wizara yako inavitengo vingi sana na idara nyngi sana ambazo zinatoa machagua ya kutosha kwa vijana wa kitanzania
1.jeshi la polisi
2.jeshi la zimamoto na uokoaji
3.idara ya uhamiaji
4.auxiliay police
5.magereza
Toka mwaka jana(2016) ndio depo ya mwisho kufanyika ccp hasa kwa askari polisi na uhamiaji nitkrbn mwaka bila hzi ajira kutangazwa
Mh mwigulu hzi nafasi ni muhmu sana kwetu maana ndio mkombozi,hasa kwa sisi wakina baba kabwela....kazi njema nothing than I presume Hon Mwigulu
1.jeshi la polisi
2.jeshi la zimamoto na uokoaji
3.idara ya uhamiaji
4.auxiliay police
5.magereza
Toka mwaka jana(2016) ndio depo ya mwisho kufanyika ccp hasa kwa askari polisi na uhamiaji nitkrbn mwaka bila hzi ajira kutangazwa
Mh mwigulu hzi nafasi ni muhmu sana kwetu maana ndio mkombozi,hasa kwa sisi wakina baba kabwela....kazi njema nothing than I presume Hon Mwigulu