johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,566
Ni yule Waziri machachari aliyetokea Chadema mh Mwita Waitara leo ameibukia stendi kuu ya Arusha kuendelea na zoezi la kukagua tiketi za mabasi.
Leo amelipiga faini ya tsh 500,000 basi la Kaprikoni kwa kutoza nauli kubwa.
Ikumbukwe juzi alfajiri Waitara alikuwa Magufuli bus terminal Dar, jana alikuwa stendi ya Nyegezi Mwanza.
Source: Clouds tv
Akina bwashee pale stendi kuu Moshi mpooo?!!....shimboni!
Leo amelipiga faini ya tsh 500,000 basi la Kaprikoni kwa kutoza nauli kubwa.
Ikumbukwe juzi alfajiri Waitara alikuwa Magufuli bus terminal Dar, jana alikuwa stendi ya Nyegezi Mwanza.
Source: Clouds tv
Akina bwashee pale stendi kuu Moshi mpooo?!!....shimboni!