Innalillah wainnailayh rajiun...Sawa
RIP Babu..Mbunge wa zamani wa jimbo la Maswa pia aliwahi kuwa Waziri, Dkt Pius Ng'wandu amefariki dunia.
Amefariki Usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Somanda mjini Bariadi.
Alikimbizwa jana katika Hospitali hiyo baada ya kupata matatizo ya presha.
Mungu amlaze Mahali pema Peponi.
Dr. Pius Yasebasi Ng’wandu aliwahi kuwa balozi wa Japan Tokyo 1990 hadi 1993
Waziri wa Sayansi na Teknologia mwaka 2000 hadi 2008
View attachment 1653866
Balozi Pius Yasebasi Ng'wandu enzi za uhai wake
Nilitaka kuuliza ndie alieoa dogodogo juzi? . Asante Kwa maelezo Mambo mengine bwana roho inatamani lakini nguvu hamna.The old man was not in his best mental faculties alipooa ile totoz...
I knew the old man was on the sky...
I feel sorry for his passing,until we see each other again in the new life
Nilitaka kuuliza ndie alieoa dogodogo juzi? . Asante Kwa maelezo Mambo mengine bwana roho inatamani lakini nguvu hamna.
Na inavuta watu kweli kweli...sea cliff analijua hiliSecond wave
Pole kwa familia msiba mkubwa na hasa kwa mjane aliyemwacha Mungu awe mfariji wake. Amen !Mbunge wa zamani wa jimbo la Maswa pia aliwahi kuwa Waziri, Dkt Pius Ng'wandu amefariki dunia.
Amefariki Usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Somanda mjini Bariadi.
Alikimbizwa jana katika Hospitali hiyo baada ya kupata matatizo ya presha.
Mungu amlaze Mahali pema Peponi.
Dr. Pius Yasebasi Ng’wandu aliwahi kuwa balozi wa Japan Tokyo 1990 hadi 1993
Waziri wa Sayansi na Teknologia mwaka 2000 hadi 2008
View attachment 1653866
Balozi Pius Yasebasi Ng'wandu enzi za uhai wake
RIP Mbunge wangu wa zamani.Amina.Mbunge wa zamani wa jimbo la Maswa pia aliwahi kuwa Waziri, Dkt Pius Ng'wandu amefariki dunia.
Amefariki Usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Somanda mjini Bariadi.
Alikimbizwa jana katika Hospitali hiyo baada ya kupata matatizo ya presha.
Mungu amlaze Mahali pema Peponi.
Dr. Pius Yasebasi Ng’wandu aliwahi kuwa balozi wa Japan Tokyo 1990 hadi 1993
Waziri wa Sayansi na Teknologia mwaka 2000 hadi 2008
View attachment 1653866
Balozi Pius Yasebasi Ng'wandu enzi za uhai wake
Hapo usikute kabinti kameshafanya yake kubadili baadhi ya hati za Mali kama ilivyokuwa kwa Mzee machacheHuyu si kaoa mrembo juzi tu? Watu walimsifia kweli ila mimi nikasema kuoa na uzee ule tena bint mrembo mwenye makalio makubwa ni kama kusogeza tatizo karibu
Hivi kuna hata mwezi tangu avute hii chombo?
View attachment 1653920