FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,022
- 40,688
Inamaana Tanzania haina viwanda vya mapanga, huku ni kuua kabisa viwanda vya ndani, huu ni uhujumu uchumi; picha ni kama inavyojieleza
Ni uchumi wa kuua viwanda vya ndani na ku- export ajira kwenda nje ya nchi, wewe unaelewa nini kwani?