Wazolee
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 2,699
- 3,088
Baada ya Mchele tuliolima wenyewe hapa nchini kupanda bila ya sababu za msingi waziri wa viwanda na biashara alisema atatoa vibali vya kuagiza Mchele uje nchini na kupunguza makali ya bei ya bidhaa hiyo. Lakini Cha kushangaza ndio imekuwa kimya na Hadi Sasa haieleweki huo Mchele umeshafika au bado
Au nao pia umedakwa na mafisadi maana kiuhalisia Kwa hapa Dar lazima bei ingeshuka chini maana gharama ya usafiri ingekuwa ni sawa na zero na serikali ingetoa Kodi hivyo bei ya Mchele ingekuwa chini sana.
Lakini pia na huko mikoani bei ingeshuka maana Mchele wao ungeuzwa huko huko kusingekuwa na sababu ya kusafirisha Mchele uje Dar wakati Dar Mchele upo kutoka nje.
Naanza kuamini hu mfumuko wa bei za nafaka ni mpango wa mafisadi na Ili kuwadhibiti mafisadi kiongozi unatakiwa uwe na roho ya chuma kama kipenzi chetu aliyetangulua mbele ya haki.
Au nao pia umedakwa na mafisadi maana kiuhalisia Kwa hapa Dar lazima bei ingeshuka chini maana gharama ya usafiri ingekuwa ni sawa na zero na serikali ingetoa Kodi hivyo bei ya Mchele ingekuwa chini sana.
Lakini pia na huko mikoani bei ingeshuka maana Mchele wao ungeuzwa huko huko kusingekuwa na sababu ya kusafirisha Mchele uje Dar wakati Dar Mchele upo kutoka nje.
Naanza kuamini hu mfumuko wa bei za nafaka ni mpango wa mafisadi na Ili kuwadhibiti mafisadi kiongozi unatakiwa uwe na roho ya chuma kama kipenzi chetu aliyetangulua mbele ya haki.