masupio
Senior Member
- Sep 16, 2014
- 179
- 201
Mhe. Charles J. Mwijage (Mb) Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji amekabidhi mradi wa kujenga Industrial Sheds kwa Mkandarasi JKT mkoani Simiyu tarehe 2 Jan, 2018. Mradi huu ni mahususi kurahisisha uchakataji, branding na cold storage kwa bidhaa za wajasiriamali wadogo wadogo mkoani humo.
Katika makabidhiano hayo Waziri huyo amesisitiza Mamlaka za Mikoa kuhakikisha kwamba asilimia 30 ya maeneo tengwa ya viwanda yanatoa upendeleo maalum kwa wajasiriamali wanawake na vijana.
Source: mubashara.