Waziri wa Viwanda: Asilimia 30 ya maeneo tengwa kwa viwanda Mikoni yatoe kipaumbele kwa wajasiriamali wanawake na vijana

masupio

Senior Member
Sep 16, 2014
179
201
IMG-20180103-WA0003.jpg
IMG-20180103-WA0005.jpg


Mhe. Charles J. Mwijage (Mb) Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji amekabidhi mradi wa kujenga Industrial Sheds kwa Mkandarasi JKT mkoani Simiyu tarehe 2 Jan, 2018. Mradi huu ni mahususi kurahisisha uchakataji, branding na cold storage kwa bidhaa za wajasiriamali wadogo wadogo mkoani humo.

Katika makabidhiano hayo Waziri huyo amesisitiza Mamlaka za Mikoa kuhakikisha kwamba asilimia 30 ya maeneo tengwa ya viwanda yanatoa upendeleo maalum kwa wajasiriamali wanawake na vijana.

Source: mubashara.
 
Hii ndio maana ya uchumi jumuishi. Ukila paja la kuku mimi nile nundu.
 
Back
Top Bottom