JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,017
..Waziri Maige amekaririwa akitoa matamshi ya vitisho kwamba yuko tayari kwa lolote akitetea wachimbaji wadogo wadogo dhidi ya mwekezaji.
..Mbunge wa Nzega, Mh.Kigwangalah naye ameandaa maandamano dhidi ya kampuni ya uchimbaji dhahabu iliyoko jimboni kwake.
..je hawa hawaingii ktk kundi la WAHAINI wanaotaka kuleta umwagaji damu nchini?
..Mbunge wa Nzega, Mh.Kigwangalah naye ameandaa maandamano dhidi ya kampuni ya uchimbaji dhahabu iliyoko jimboni kwake.
..je hawa hawaingii ktk kundi la WAHAINI wanaotaka kuleta umwagaji damu nchini?