Waziri wa Ulinzi wa Tanzania, Hussein Mwinyi awatembelea JWTZ nchini Congo

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,890
a0f0fcc9e5dbf50460cf8655adae6427.jpg


BENI, DR CONGO: Waziri wa Ulinzi waTanzania, Hussein Mwinyi amewatembelea katika kambi zao wanajeshi wa JWTZ wanaolinda amani nchini humo na kuwapa pole kwa kuondokewa na wenzao waliouawa na waasi.
ba01cf8396df2a47946ac0dd91df8245.jpg
a20a47285248720cbed9101a44d027c7.jpg
 
a0f0fcc9e5dbf50460cf8655adae6427.jpg


BENI, DR CONGO: Waziri wa Ulinzi waTanzania, Hussein Mwinyi amewatembelea katika kambi zao wanajeshi wa JWTZ wanaolinda amani nchini humo na kuwapa pole kwa kuondokewa na wenzao waliouawa na waasi.
ba01cf8396df2a47946ac0dd91df8245.jpg
a20a47285248720cbed9101a44d027c7.jpg
Bas sawa
 
Aisee... Hii ilitakiwa raisi aende kama kama tunataka haki itendeke, kama alivyoagiza waziri mkuu kuwataka umoja wa mataifa kufanya uchunguzi, sasa kama anaenda waziri ina maana uchunguzi utachukua muda mrefu, hivi sizonje anawaza nini!? Yaana tukio kaliskia tu kwenye mitandao, hajawaona, hajawaaga, badala yake alikwenda kwenye ile sakosi yao kule idoomia, najiuliza ana moyo wa huruma!
 
Aisee... Hii ilitakiwa raisi aende kama kama tunataka haki itendeke, kama alivyoagiza waziri mkuu kuwataka umoja wa mataifa kufanya uchunguzi, sasa kama anaenda waziri ina maana uchunguzi utachukua muda mrefu, hivi sizonje anawaza nini!? Yaana tukio kaliskia tu kwenye mitandao, hajawaona, hajawaaga, badala yake alikwenda kwenye ile sakosi yao kule idoomia, najiuliza ana moyo wa huruma!
Ulichokifanya ni kuropoka usichokijua.
 
Aisee... Hii ilitakiwa raisi aende kama kama tunataka haki itendeke, kama alivyoagiza waziri mkuu kuwataka umoja wa mataifa kufanya uchunguzi, sasa kama anaenda waziri ina maana uchunguzi utachukua muda mrefu, hivi sizonje anawaza nini!? Yaana tukio kaliskia tu kwenye mitandao, hajawaona, hajawaaga, badala yake alikwenda kwenye ile sakosi yao kule idoomia, najiuliza ana moyo wa huruma!
Ufinyu wa mawazo
 
Mimi nilitegemea sasa hivi ADF wawe wanafurushwa kwenye mapori ya Kongo yeye anafanya ziara, sisi tuna uchungu wa kuuawa kwa vijana wetu tunataka walipe kisasa
 
Ni jukumu lake hakuna jipya hapo.

Pia, tunamlipa mamilioni kwa kazi hiyo.
 
a0f0fcc9e5dbf50460cf8655adae6427.jpg


BENI, DR CONGO: Waziri wa Ulinzi waTanzania, Hussein Mwinyi amewatembelea katika kambi zao wanajeshi wa JWTZ wanaolinda amani nchini humo na kuwapa pole kwa kuondokewa na wenzao waliouawa na waasi.
ba01cf8396df2a47946ac0dd91df8245.jpg
a20a47285248720cbed9101a44d027c7.jpg
Si wangemtafutia bullet proof inayomfiti vizuri. Sijui Ni swaga
 
Aisee... Hii ilitakiwa raisi aende kama kama tunataka haki itendeke, kama alivyoagiza waziri mkuu kuwataka umoja wa mataifa kufanya uchunguzi, sasa kama anaenda waziri ina maana uchunguzi utachukua muda mrefu, hivi sizonje anawaza nini!? Yaana tukio kaliskia tu kwenye mitandao, hajawaona, hajawaaga, badala yake alikwenda kwenye ile sakosi yao kule idoomia, najiuliza ana moyo wa huruma!
Kuna mambo unaweza kua huyajui.

Kiongozi wa kisiasa hufanya mambo yenye manufaa kisiasa, weka akilini hiyo.

Kingine mwanasiasa hajawahi kumpenda mtu wa kawaida, iwe Askari, awe Nurse, awe Daktari awe rubani, awe mkulima etc.
Kwanza mwanasiasa hutamani hata wafanyakazi wasilipwe hata shilingi moja ili fedha nyingi ajiongezee maslahi na kuboresha kwao, Sasa kitendo cha wafanyakazi kulipwa ni kwa sababu asipolipa yatatokea mambo magumu na atashindwa kutawala.

Rais hawezi kuwapenda Askari japo Askari wanamlinda aendelee kutawala, angewapenda angethamini michango yao, anawalipa mishahara kwa sababu anataka waendelee kulinda yeye ale bata(iko hivyo sio Africa pekee).

Kwa kawaida mwanasiasa anaweza kumpenda mwanasiasa mwenzake ambaye wana lao moja na kila mmoja atanufaika.

Ndio maana mbunge anatumikia 5years pension ni around 200 Millions, ilihali Askari anatumikia 30 years na pension haitazidi 100 Millions.

Mwanasiasa akupende akujengee shule ya kata na mwanae asomeshe shule za ulaya au shule za kulipia mamilioni? Kwanini asimpeleke mwanae kwenye hiyo shule ya kata? Mjitafakari sana nyie wenye kadi za vyama, kutwa kutetea ugali wa wenzenu, wenzenu wanakula raha wanaonekana vijana nyinyi mmezeeka kwa sababu ya maisha magumu.

Mwanasiasa anapata let say 10 Millions per month na halipi Kodi, wewe mwalimu wa Primary salary yako laki 4 kila mwezi utaona Income Tax imekatwa, mwanasiasa anatembelea shangingi wapiga kura hata kisima cha maji chumvi kimeshindikana, ela za mikopo kwa wanafunzi hukosekana ila wanasiasa mashangingi yao huwekwa full tank kila siku kwa hela hizi hizi tunazolipa kodi.

Nawashangaaga sana watu wanaotokwa jasho kumtetea mwanasiasa au kutetea chama fulani hasa wale ambao sio wanufaika wa siasa.

Hua nawahurumia sana mnaposema chama chenu kimefanya hivi na vile wakati wengi wenu hata hamlipwi shilingi kumi. Mnajijumuisha kwenye mambo yasiyowahusu, mnaandamana mnapigwa risasi na mabomu wenzenu wako kwenye majumba yao wanatazama TV na wanakula raha na vimada kwa Kodi zenu.
 
Kuna mambo unaweza kua huyajui.

Kiongozi wa kisiasa hufanya mambo yenye manufaa kisiasa, weka akilini hiyo.

Kingine mwanasiasa hajawahi kumpenda mtu wa kawaida, iwe Askari, awe Nurse, awe Daktari awe rubani, awe mkulima etc.
Kwanza mwanasiasa hutamani hata wafanyakazi wasilipwe hata shilingi moja ili fedha nyingi ajiongezee maslahi na kuboresha kwao, Sasa kitendo cha wafanyakazi kulipwa ni kwa sababu asipolipa yatatokea mambo magumu na atashindwa kutawala.

Rais hawezi kuwapenda Askari japo Askari wanamlinda aendelee kutawala, angewapenda angethamini michango yao, anawalipa mishahara kwa sababu anataka waendelee kulinda yeye ale bata(iko hivyo sio Africa pekee).

Kwa kawaida mwanasiasa anaweza kumpenda mwanasiasa mwenzake ambaye wana lao moja na kila mmoja atanufaika.

Ndio maana mbunge anatumikia 5Yrs pension ni around 200 Millions, ilihali Askari anatumikia 30 Yrs na pension haitazidi 100 Millions.

Mwanasiasa anapata let say 10 Millions per month na halipi Kodi, wewe mwalimu wa Primary salary yako laki 4 kila mwezi utaona Income Tax imekatwa, mwanasiasa anatembelea shangingi wapiga kura hata kisima cha maji chumvi kimeshindikana, ela za mikopo kwa wanafunzi hukosekana ila mwanasiasa shangingi zao full tank kila siku kwa hela hizi hizi tunazolipa kodi

Nawashangaaga sana watu wanaotokwa jasho kumtetea mwanasiasa au chama fulani.
Nitajie namba yako ya tigo pesa nikutumie pesa ya castle.ata moja mkuu.
 
Back
Top Bottom