Waziri wa Ulinzi: Serikali imeunda Task Force (Vyombo vyote vya ulinzi na usalama) kufuatilia hali ya uhalifu nchini

tramadol

JF-Expert Member
Oct 10, 2015
5,383
4,317
Akijibu swali la nyongeza Bungeni leo Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa, Mh Dr. Hussein Mwinyi amesema Serikali imeunda Task Force inayojumuisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama nchini ili kuhakikisha inafuatilia uhalifu unaoendelea nchini kufuatia shambulio la Meja General Vincent na Mbunge Tundu Lissu na matukio mengine nchini.
 
Akijibu swali la nyongeza Bungeni leo Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa, Mh Dr. Hussein Mwinyi amesema Serikali imeunda Task Force inayojumuisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama nchini ili kuhakikisha inafuatilia uhalifu unaoendelea nchini kufuatia shambulio la Meja General Vincent na Mbunge Tundu Lissu na matukio mengine nchini.

Funika kombe....
 
Task force ya nini tena? Bora kamati za bunge huwa zinakujaga na majibu na watu wanaangukia pua!
Mwinyi na Mwigulu mlitakiwa kuachia nyadhifa zenu tangu issue ya polisi kuuliwa mbagala na stakishari na kule kibiti! Lakini kwa kuwa mnajua kinachoendelea mmebaki kwenye viyoyozi maofisini kwenu. Jiuzuluni kwa kushindwa kwenu kuzisimamia wizara zenu! Hii task force siamini kama itatenda haki!
 
Task force ya nini tena? Bora kamati za bunge huwa zinakujaga na majibu na watu wanaangukia pua!
Mwinyi na Mwigulu mlitakiwa kuachia nyadhifa zenu tangu issue ya polisi kuuliwa mbagala na stakishari na kule kibiti! Lakini kwa kuwa mnajua kinachoendelea mmebaki kwenye viyoyozi maofisini kwenu. Jiuzuluni kwa kushindwa kwenu kuzisimamia wizara zenu! Hii task force siamini kama itatenda haki!
Mwinyi ni waziri wa ulinzi, mambo ya usalama ni ya wizara ya mambo ya ndani ambayo yanashughulikiwa na polisi.
 
Back
Top Bottom