Waziri wa Ulinzi na JKT, Mhe. Dkt. Hussein Mwinyi ameanza ziara ya kutembelea SUMAJKT ambapo Leo alitembelea Makao Makuu ya SUMAJKT na kupatiwa taarifa ya utendaji kazi na baadaye kutembelea Kiwanda kidogo cha majaribio cha kutengeneza viatu, ambapo utengenezwa jozi 50 kwa siku.
#SerikaliIpoKazini
#SerikaliIpoKazini