waziri wa ulinzi wa uingereza ajiuzulu kwa kuitumia ofisi ya uwaziri kwa mambo yake binafsi ikwapo kuiuzia Sri-Lanka silaha km mtu binafsi na sio serikali!Ngeleja na Mkulo wajifunze uwajibikaji!
source. idhaa ya BBC
waziri wa ulinzi wa uingereza ajiuzulu kwa kuitumia ofisi ya uwaziri kwa mambo yake binafsi ikwapo kuiuzia Sri-Lanka silaha km mtu binafsi na sio serikali!Ngeleja na Mkulo wajifunze uwajibikaji!
source. idhaa ya BBC
mhhhhhhh ebu fafanua hapo hizo taarifa ni kwa mujibu wa vyanzo gani kwamba aliuza silaha kama mtu binafsi.
Mi nimesikia anatuhumiwa kutumia sfari zake za kiofisi kuwa karibu na rafiki yke amabye hkuwa muajiriwa wa seriali . Amefanyazira sehemu mbali mbli nchi mbali mbali akiwa na huyo jamaa. Ameshindwa kutofautisha majukumu ya kiofisi na kirafiki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.