Kwanza kabisa tunamshukuru sana Hayati JPM kwa kufanya maamuzi magumu ya kujenga barabara ya njia 6/8 kuanzia Kimara hadi Kibaha, hakika barabara hii sio tu kwamba imeondoa foleni ktk maeneo hayo lkn pia imeboresha muonekano wa Jiji la DSM, kila anayepita juu ya "mkeka" huu hakika anamkubali na kumrehemu JPM japo kimya kimya!.
Tatizo na changamoto nilizo ziona ktk Barabara hii ni ufinyu wa vituo vya daladala, na maeneo mengine hayana mahali vituo vidogo vya daladala kupaki kwa yale yanayo ishia kwa mfano Kibamba/kituo cha polisi kiluvya gogoni, maeneo hayo ilipaswa ijengwe stendi ndogo ya daladala ili kuruhusu mabasi kupaki.
kwa sasa wananchi wanao fuata huduma za polisi kiluvya gogoni wanalazimika kusha kibamba na kisha kutembea kwa miguu umbali wa km.1 na nusu hadi kituo cha polisi.
Tunashauri kituo cha daladala kijengwe maeneo hayo.
Pili tunashauri kwa hadhi ya barabara hii ziwekwe taa za barabarani.
Kwa mara nyingine nampa hongera prof. Mbarwa kwa kuteuliwa kuwa waziri wa ujenzi.
Kazi iendelee.
Tatizo na changamoto nilizo ziona ktk Barabara hii ni ufinyu wa vituo vya daladala, na maeneo mengine hayana mahali vituo vidogo vya daladala kupaki kwa yale yanayo ishia kwa mfano Kibamba/kituo cha polisi kiluvya gogoni, maeneo hayo ilipaswa ijengwe stendi ndogo ya daladala ili kuruhusu mabasi kupaki.
kwa sasa wananchi wanao fuata huduma za polisi kiluvya gogoni wanalazimika kusha kibamba na kisha kutembea kwa miguu umbali wa km.1 na nusu hadi kituo cha polisi.
Tunashauri kituo cha daladala kijengwe maeneo hayo.
Pili tunashauri kwa hadhi ya barabara hii ziwekwe taa za barabarani.
Kwa mara nyingine nampa hongera prof. Mbarwa kwa kuteuliwa kuwa waziri wa ujenzi.
Kazi iendelee.