Mgambilwa ni mntu
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 2,869
- 3,188
Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Isack Kamwelwe, ametoa ufafanuzi kuwa, matengenezo ya Ndege mbili za Bombardier zinazotarajiwa kupelekwa nchini Canada, yatagharimu Bilioni 6 na siyo 13.9 zilizoripotiwa kwenye vyombo vya habari.
Waziri alisema kuwa, kuna uwezekano mkubwa aliyeandika taarifa hiyo alimnukuu kimakosa ama yeye ndiye aliyetamka kiwango hicho kimakosa. Hivyo gharama ni bilioni 6 kwa ndege mbili, sawa na bilioni 3 kwa kila ndege.
Waziri alisema kuwa, kuna uwezekano mkubwa aliyeandika taarifa hiyo alimnukuu kimakosa ama yeye ndiye aliyetamka kiwango hicho kimakosa. Hivyo gharama ni bilioni 6 kwa ndege mbili, sawa na bilioni 3 kwa kila ndege.