kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Nadhani maisha yalivyo ni kwamba watoto wa viongozi wakihitimu vyuo awatafuti tena kazi wanasubiri uteuzi. Kwa ukubwa nafasi hizi zilizotoka naomba waziri atumie busara kuandaa semina elekezi la sivyo uchumi wetu utakufa kabisa.
Ni sawa mmeamua V8 zipaki nyumbani kwenu yaani baba, mama na watoto kama ilivyo kwa Mzee wa Msoga ila pamoja na hayo tuhurumieni fedh zetu.
Hawa watu mlioteua ambao awajawahi kuongoza hata darasa chuo wanakwenda kupeleka uvurundaji serikalini.
Ni sawa mmeamua V8 zipaki nyumbani kwenu yaani baba, mama na watoto kama ilivyo kwa Mzee wa Msoga ila pamoja na hayo tuhurumieni fedh zetu.
Hawa watu mlioteua ambao awajawahi kuongoza hata darasa chuo wanakwenda kupeleka uvurundaji serikalini.