Waziri wa TAMISEMI, George Simbachawene, aagiza mkuu wa shule ya Mbeya Day ashushwe cheo

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,888
Waziri wa TAMISEMI ameagiza mkuu wa shule ya Mbeya Day ashushwe cheo kwasababu ya kutaka kuficha ukweli wa tukio.
namba 1.png
Screenshot from 2016-10-06 18-52-01.png
 
Safi sana mh. Waziri ila sasa wakati wanampiga huyo mwanafunzi mwalimu mkuu alikuwa na taarifa? lakini pia inategemewa mkuu wa shule alielezwa nini na wale waalimu.

Sasa kazi ipo ila kwa hili ningekuwa mkuu wa shule ningenza kuwaita polisi ili kuwanasa wale waalimu kabla ya kuodoka shuleni pala.
 
Angalizo kwa waalimu, wewe timiza wajibu wako wa kufundisha, wakifeli wewe haikuhusu, usiwakomalie.

Tena kama hawajafanya assignment basi wewe furahia maana unadaftari chache za kusahihisha.

Sishabikii uonevu ila najua kizazi cha dotkom kila siku kinatukana viongozi na waalimu.
 
Mimi nikiwa kama Mzazi na Mwananchi na Raia wa Tanzania, niwapongeze sana Jamhuri kwa kuchukua hatua kwa haraka sana.

Kwa kweli nilipoiona ile Video, Mwili wangu ulinisisimka, picha ya kwanza kunijia ni ya Mwanangu, Sio Siri angekuwa ni Mwanangu sijui ingekuwaje kwa kweli, Tungegawana Majengo ya Jamhuri Aisee.

Pongezi kwa Tamisemi, Waziri wa Mambo ya Ndani Mwigulu, Waziri wa Elimu, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya na Wadau wote.
 
Kwa kweli hiyo ni moja ya shule. Lakin sio siri kwenye hizi shule kuna siri wanajua wanafunzi
Cha muhimu ni kufuatilia na hata shule nyingine pia
 
Yule mwanafunzi anatakiwa alipwe pia,najiuliza tokea tarehe 24 September mwanafunzi kapigwa ila kalala ndani,jamani watoto wana nidhamu za uoga sana kwa kweli,sasa aende mahakamani adai fidia na hao walimu wakale maharage jela,ndo ubaya wa kusoma Education kisa ina mkopo asilimia 100 while huna wito kabisa,kazi za kudeal na bidadamu directly zataka moyo otherwise utajikuta unalala jela tu
 
Back
Top Bottom