emmanuel mhecha
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 933
- 542
Wandugu nafuatilia katika kamati ya kuleta sheria ya madini,hakika Tanzania inaeleke nchi ya ahadi ya asali na maziwa,big up waziri wa sheria kwa presentation na kujibu maswali kwa ufasaha sana na kutupa mifano hai mingi, ila sheria inataka kuleta Gold reserve yaani store ya dhahabu au bank ya dhahabu sasa nikitathimini pale Bot kuanzia Gavana mpaka mfagiaji hakuna mzalendo ndio maana nikawaza ile sheria ya uhujumu uchumi ya China ya kunyonga ni wakati sasa tuwe nayo ili watu waone dhahabu kama pilipili itakapo wekwa pale Bank ya tanzania,mfano epa watu wamejimegemea tu mafungu ya fedha Gavana anakodoa tu mimacho.