GATS
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 240
- 17
Waziri mmoja wa serilika ya CCM alipotembelea Taasisi ya Sayansi na Technolojia Mbeya. Alikutana na magumu pale alipobanwa na maswali na wasomi wa Taasisi hiyo kuwa. Kwanini Dowans ilipwe fedha zote hizo za wavuja jasho wakati inaonekana ni kampuni ya kitapeli ? Kila alipojaribu kujibu sababu zilikuwa haziwatoshelezi wahusika ndipo akajikuta anasema kidumu CHADEMA. Je alifanya makusudi au alikuwa amechanganyikiwa?