GARI la Naibu Waziri wa Usalama wa Raia MOHAMED ABOUD Mohamed, lenye alama, NW-UR,aina ya GX, limeibiwa na dereva wake aitwaye Tumaini Mbaga, ametoweka tokea Jumamosi iliyopita.
GARI la Naibu Waziri wa Usalama wa Raia MOHAMED ABOUD Mohamed, lenye alama, NW-UR,aina ya GX, limeibiwa na dereva wake aitwaye Tumaini Mbaga, ametoweka tokea Jumamosi iliyopita.
Hakuna lawama kila mtu Fisadi dereva nae kachota chake mapema hakuna wa kumalaumu
MIKAEL ahasate kwa kutuweka wazi kwa hili...huyu bwana ni mlevi sana na mtu wa totoz pamoja na ustaadh wake,,,swala la kuibiwa guest ngumu hawa wanaingiaga guest na tax zenye TINTED na wakiwa wanaondoka,, wenye guest wanaamriwa waakikishe hakuna mtu arround haya yalinikuta ""NAMNANI"" GUEST HOUSE mpaka leo nikakoma...
MIKAEL ahasate kwa kutuweka wazi kwa hili...huyu bwana ni mlevi sana na mtu wa totoz pamoja na ustaadh wake,,,swala la kuibiwa guest ngumu hawa wanaingiaga guest na tax zenye TINTED na wakiwa wanaondoka,, wenye guest wanaamriwa waakikishe hakuna mtu arround haya yalinikuta ""NAMNANI"" GUEST HOUSE mpaka leo nikakoma .....
Ulifikia au ulikwenda kujipumzisha?