Waziri wa Nishati sio mbunifu kutuondoa kwenye matatizo yanayosababishwa na umeme. Hajui nchini kuna Uraniun?

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Oct 2, 2020
4,086
6,568
Watanzania hatujawahi kusikia huyu Waziri Makamba akija na mkakati wowote ule wa kulikwamua taifa letu na tatizo la gharama kubwa za nishati ya umeme.

Mradi wa JNHP ulikuwa ni moja ya njia ya kupunguza gharama za nishati ya umeme. Maana mradi huu ungekamilika kwa wakati June 2022 ungewezesha kushusha gharama za nishati ya umeme na hivyo kupunguza ughali wa maisha .

Mbali na JNHP taifa letu limejaliwa kuwa na madini lukuki ya Uranium ambayo kama yakitumiwa vizuri ni chanzo kizuri cha uhakika cha nishati ya umeme.

Mbona huyu waziri hatusikii akitilia mkazo juu ya taifa letu kuwa na Nuclear plant kwa ajili ya kuzalisha umeme?

Ngonjera zake ni marekebisho ya njia za kusafirisha umeme ambayo kila siku hayaishi.

Watanzania tumepigwa na kitu kizito
 
Watanzania hatujawahi kusikia huyu Waziri Makamba akija na mkakati wowote ule wa kulikwamua taifa letu na tatizo la gharama kubwa za nishati ya umeme.

Mradi wa JNHP ulikuwa ni moja ya njia ya kupunguza gharama za nishati ya umeme. Maana mradi huu ungekamilika kwa wakati June 2022 ungewezesha kushusha gharama za nishati ya umeme na hivyo kupunguza ughali wa maisha .

Mbali na JNHP taifa letu limejaliwa kuwa na madini lukuki ya Uranium ambayo kama yakitumiwa vizuri ni chanzo kizuri cha uhakika cha nishati ya umeme.

Mbona huyu waziri hatusikii akitilia mkazo juu ya taifa letu kuwa na Nuclear plant kwa ajili ya kuzalisha umeme?

Ngonjera zake ni marekebisho ya njia za kusafirisha umeme ambayo kila siku hayaishi.

Watanzania tumepigwa na kitu kizito
Nadhani ungebadili Heading yako,badala ya kumlenga Waziri aliyopo Sasa ktk Wizara ya Nishati ambaye hata miezi 6 HAIJAFIKA ,Ungesema NI AIBU KWA TAIFA KUWAHI KUWA NA MAWAZIRI WA NISHATI AMBAO SI WABUNIFU KWA KUSHINDWA KUTUMIA URENIUM KUZALISHA UMEME. Kama hutabadili nitahic ni zile chuki za watanzania wengi juu ya Waziri wa Sasa kutamani aondolewe na aliyemteua. Kumbuka URENIUM imegunduliwa miaka mingi iliyopita Sasa usituaminishe kuwa uwezo wa Waziri ni mdogo.
 
Hafuwezi kujenga nuclear plant?
Kwa mtaji gani au kwa uthibitisho wa usalama gani?

Mbona una viazio vingi tu vya umeme?

Kinachotakiwa ni uthubutu, upeo na ujasiri kama wa Mwalimu Julius Nyerere alivyoshugulikia oil crisis back in 1973.

Tatizo tuna short memories.
 
Vyanzo mbadala vya nishani inatakiwa vianzie kwenye ngazi ya familia
Kila familia iangalie inaanzaje kupunguza au ione namna ya kuzalisha chanjo cha nishani mbadala mathalani biogas
Sijaelewa nini kitatokea endapo kila kitu itategemea serikali hii hii ninayoifahamu
 
Mkuu kwa hiyo unataka naniliu auze na Uranium ?

images (77).jpeg
 
Watanzania hatujawahi kusikia huyu Waziri Makamba akija na mkakati wowote ule wa kulikwamua taifa letu na tatizo la gharama kubwa za nishati ya umeme.

Mradi wa JNHP ulikuwa ni moja ya njia ya kupunguza gharama za nishati ya umeme. Maana mradi huu ungekamilika kwa wakati June 2022 ungewezesha kushusha gharama za nishati ya umeme na hivyo kupunguza ughali wa maisha .

Mbali na JNHP taifa letu limejaliwa kuwa na madini lukuki ya Uranium ambayo kama yakitumiwa vizuri ni chanzo kizuri cha uhakika cha nishati ya umeme.

Mbona huyu waziri hatusikii akitilia mkazo juu ya taifa letu kuwa na Nuclear plant kwa ajili ya kuzalisha umeme?

Ngonjera zake ni marekebisho ya njia za kusafirisha umeme ambayo kila siku hayaishi.

Watanzania tumepigwa na kitu kizito
Tufanye ndivyo ilivyo,haya wewe tusaidie pendekezo lako moja tuu la ubunifu ambalo litashusha mara moja bei za mafuta..

Unajua mdomo kila mtu anao ila vichwa vyenu ni mzigo kwa miguu.
 
Watanzania hatujawahi kusikia huyu Waziri Makamba akija na mkakati wowote ule wa kulikwamua taifa letu na tatizo la gharama kubwa za nishati ya umeme.

Mradi wa JNHP ulikuwa ni moja ya njia ya kupunguza gharama za nishati ya umeme. Maana mradi huu ungekamilika kwa wakati June 2022 ungewezesha kushusha gharama za nishati ya umeme na hivyo kupunguza ughali wa maisha .

Mbali na JNHP taifa letu limejaliwa kuwa na madini lukuki ya Uranium ambayo kama yakitumiwa vizuri ni chanzo kizuri cha uhakika cha nishati ya umeme.

Mbona huyu waziri hatusikii akitilia mkazo juu ya taifa letu kuwa na Nuclear plant kwa ajili ya kuzalisha umeme?

Ngonjera zake ni marekebisho ya njia za kusafirisha umeme ambayo kila siku hayaishi.

Watanzania tumepigwa na kitu kizito
Uranium kwa akili zipi tulizonazo?

Katafute Chernobyl disaster ndio utajua mziki wa Uranium.
 
Back
Top Bottom