Waziri wa nishati na madini Mh Muhongo afukuza mwekezaji aliyetaka kuwekeza Usd 20 BILLION Tanzania

Mwenye topic tetea maada yako. Si kila proposal lazima ikubaliwe. Give us the contents of the proposal and why was it dishonoured, siyo unakuja na sera za kulalamika, ukitaka kulalamika kamlalamikie babaako.
 
Mwenye topic tetea maada yako. Si kila proposal lazima ikubaliwe. Give us the contents of the proposal and why was it dishonoured, siyo unakuja na sera za kulalamika, ukitaka kulalamika kamlalamikie babaako.

Ndio ushaletewa sasa wewe kama great thinker unaweza kuwasiliana na MUHOGO ili upate kujua zaidi kama yanayosemwa humu ni kweli au la

usiwe na uvivu wa kufikiria
 
Mpaka nione Buzwagi na Kakola zinanufaisha wananchi ndo tajua anafanya kweli. Hizi zingine naona kama sarakasi tu
 
wimbi la mbele sina imani na waarabu................wawekezaji hawa ndiyo hututoroshea wanyama wetu kila siku.............
sasa angekuwa mzungu na mkristo ungeridhika?

wazungu si ndio hao akina RICHMOND na SYMBION na mwingine ameamua kujenga airport serengeti mbona hamlalamiki?
 
Mpaka nione Buzwagi na Kakola zinanufaisha wananchi ndo tajua anafanya kweli. Hizi zingine naona kama sarakasi tu

hilo haliwezekani kwa sababu waliopo madarakani hawataki wananchi wanufaike ndio maana wanakuwa wagumu kufanya maamuzi yenye kunufaisha wananchi
 
Je waziri kivuli wa uchumi yuko wapi?

Zitto-Kabwe.jpg
 
Jambo moja lipo wazi....awali mtoa mada hakuleta hoja yenye mashiko na mbaya zaidi hoja yake ilielekea kwenye kunung'unika zaidi wakati jambo aliloleta ni sensitive.

Hata hivyo, naona hatimae mleta mada ameleta baadhi ya nyamanyama za ku-cover skeleton ambazo aliziwasilisha awali hapa jamvini. Baada ya hatua hiyo, nilizani hivi sasa wanaojiita GTs wangeanza kuijadili na kuitafiti hiyo MUBADALA kisayansi zaidi badala ya kuishia kutoa hoja dhaifu za Uarabu na mambo kama hayo! Ni upuuzi kujadili asili ya mtu, upuuzi ambao asili yake ni chuki za kipuuzi vilevile dhidi ya jamii fulani. Ni upuuzi ku-undermind issue mzima kwa vile tu wahusika ni Waarabu....ningeelewa endapo criticism zenyewe zingekuwa ni against foreign investments kuliko kuzifanya against Waarabu! Huo, ni ukosefu za hoja na ni aibu kutoka kwa watu!

Hoja ya msingi hapa tujuzwe huyo mwekezaji alitaka kuwekeza nini....suala kwamba ni kwa faida ya nani, ni hoja isiyo na msingi vile vile simply because, lazima ni kwa faida ya wao wenyewe....na hiyo ndiyo FIRST GOAL ya any business firm...hawaji kutangaza dini hapa! Wakati hakuna shaka kwamba Main Goal ni kwa ajili yao wenyewe; labda tunachotakiwa kujadili ni kwamba, Tz kama nchi itafaidika nini kwenye uwekezaji huo! Nimeangalia profile za Huyo Chairman na CEO, ni profile zisizo shaka na ni m2 wa ajabu tu ndie anayeweza kuzi-undermind!
 
Nafikiri hawa walitaka kuwekeza kwenye uwindaji wa wanyama wetu huko kwenye mbuga zetu!
 
Jambo moja lipo wazi....awali mtoa mada hakuleta hoja yenye mashiko na mbaya zaidi hoja yake ilielekea kwenye kunung'unika zaidi wakati jambo aliloleta ni sensitive.

Hata hivyo, naona hatimae mleta mada ameleta baadhi ya nyamanyama za ku-cover skeleton ambazo aliziwasilisha awali hapa jamvini. Baada ya hatua hiyo, nilizani hivi sasa wanaojiita GTs wangeanza kuijadili na kuitafiti hiyo MUBADALA kisayansi zaidi badala ya kuishia kutoa hoja dhaifu za Uarabu na mambo kama hayo! Ni upuuzi kujadili asili ya mtu, upuuzi ambao asili yake ni chuki za kipuuzi vilevile dhidi ya jamii fulani. Ni upuuzi ku-undermind issue mzima kwa vile tu wahusika ni Waarabu....ningeelewa endapo criticism zenyewe zingekuwa ni against foreign investments kuliko kuzifanya against Waarabu! Huo, ni ukosefu za hoja na ni aibu kutoka kwa watu!

Hoja ya msingi hapa tujuzwe huyo mwekezaji alitaka kuwekeza nini....suala kwamba ni kwa faida ya nani, ni hoja isiyo na msingi vile vile simply because, lazima ni kwa faida ya wao wenyewe....na hiyo ndiyo FIRST GOAL ya any business firm...hawaji kutangaza dini hapa! Wakati hakuna shaka kwamba Main Goal ni kwa ajili yao wenyewe; labda tunachotakiwa kujadili ni kwamba, Tz kama nchi itafaidika nini kwenye uwekezaji huo! Nimeangalia profile za Huyo Chairman na CEO, ni profile zisizo shaka na ni m2 wa ajabu tu ndie anayeweza kuzi-undermind!

serikali ya nchi hiii huwa inafanya kazi kwa kupitia social media kama JF

wewe subiri watu wakishafatari watapigiana simu na kesho sitoshangaa kuona statements zenye skeleton toka kwa :

IKULU
OFISI YA WAZIRI MKUU
TIC
WIZARA YA BIASHARA
WIZARA YA MAMBO YA NJE
WAZIRI WA UWEKEZAJI

Hawa kama kawaida ya serikali yetu watatoa conflicting press releases lakini zote zitakuwa zinasema si kweli na mazungumzo bado yanaendelea. Wakati ukweli ni kuwa kuna habari hawa jamaa wameamua kwenda Mozambique na Angola.
 
Investment ya USD 20bn kwa mwaka? Only a fool anaweza kukaa chini na kusoma proposal ya kitapeli kiasi hicho. Kama kweli Prof Muhongo amewatimulia mbali basi nitamheshimu sana.

GDP ya Tanzania ni USD 23bn, anakuja mwarabu na kusema atawekeza almost amount sawa na uchumi kwa mwaka mmoja? Hivi mleta hoja unajua huu utapeli wa kiarabu?

Huyu mleta hoja hajui anasema nini; sampuli ya hawa vilaza ndio wananunuliwa suti na kuuza nchi, ni lazima tuwe na wakina Prof. Muhongo wengi wasiokuwa wachumia tumboni ndio nchi itasalimika!!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
wewe usd ndio zimekuchanganya
huja angalia mambo mengine ,lengo lenu mnataka baadae mje mlaumu kwa nini aliwakubari wawekezaji kama hao
komaa prof muhongo
 
Huyu mleta hoja hajui anasema nini; sampuli ya hawa vilaza ndio wananunuliwa suti na kuuza nchi, ni lazima tuwe na wakina Prof. Muhongo wengi wasiokuwa wachumia tumboni ndio nchi itasalimika!!

Issue naona hapa ni UARABU

lakini nimepitia profile za hiyo kampuni 2 naona wameinvest sana kwa wazungu tena kwenye sensitive industries kama aerospace

issue hapa angekuja mwekezaji MZUNGU sidhani kama mleta hoja angeshambuliwa namna hii

matapeli wa SYMBION na RICHMOND sie tunaona sawa?
 
hii deal ilikuwa na viungo vya ki-nigeria, only a naive and gullible can jump on your wagon baby! muhongo keep on bursting those fake-ass deals.
 
Sikuzote matapeli huw wanakuja na proposal nzuri na za kuvutia..mwisho wake ni kilio..nampa 100 wazir husika...
 
Back
Top Bottom