peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,802
- 21,398
BARUA YA WAZI KWA Mh.JANUARY MAKAMBA WAZIRI WA NISHATI .
Ninakusalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Pamoja na salam hizi , ninaomba tukufikishie ujumbe wa barua hii uupate ili uifanyie kazi kuilinda na kuiheshimu heshima ya Rais wetu Samia na kuenzi kauli yake ya kaxi iendelee.
Nije kwenye mada, ulipitia mikoa yote ya kanda ya ziwa ukigawa gas ya kupikia kwa wakinamama kanda ya xiwa hilo tunakupongeza na asante sana .
Sasa changamoto iliyopo mikoa yote ya kanda ya ziwa tanesco uliitengea fedha kupitia bajeti ya wizara yako 2022/2023 fedha kwa ajili ya miradi mipya kupeleka umeme maeneo yasiyo na umeme.
Hadi sept 2,2022 hakuna mkoa hata mmoja umetumiwa fedha za ujenzi wa mirafi hiyo na haijulikani ni lini miradi hiyo itaanza kutekelezwa kupitia muda wa bajeti hiyo ya serikali.
Wananchi wa kanda ya ziwa wanakwenda mbali wakilalakika kutokuwa na umeme kitu kinacho ashiria wananchi na wanaccm kanda ya ziwa, kutokuwa na imani na kauli ya Rais samia ya kupeleka huduma muhimu na kwa wakati ili kupunguza ukali wa maisha.
Tunakuomba mh makamba ujitahidi fedha ulizozitengea bajeti kwa miradi hiyo mipya uzitume ili miradi hiyo iweze kufanyika kwa wakati na wananchi waendelee kuitetea na kukilinda chama tawala kama mboni ya jicho.
Ni matumsini yetu tanesco mikoa ya kanda ya ziwa itapokea fedha hizo kabla ta tarehe 10.9.2022, kwani tulijaribu kumpigia simu Katibu mkuu wa wizara ya Nishati Eng. Mramba alijibu yeye sio msemaji wa wizara ya Nishati.
Pamoja na salam za chama tawala peleka salam zetu kwa mh Rais samia suluhu, tunampenda na aliko mama kanda ya ziwa tupo.
Ninakusalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Pamoja na salam hizi , ninaomba tukufikishie ujumbe wa barua hii uupate ili uifanyie kazi kuilinda na kuiheshimu heshima ya Rais wetu Samia na kuenzi kauli yake ya kaxi iendelee.
Nije kwenye mada, ulipitia mikoa yote ya kanda ya ziwa ukigawa gas ya kupikia kwa wakinamama kanda ya xiwa hilo tunakupongeza na asante sana .
Sasa changamoto iliyopo mikoa yote ya kanda ya ziwa tanesco uliitengea fedha kupitia bajeti ya wizara yako 2022/2023 fedha kwa ajili ya miradi mipya kupeleka umeme maeneo yasiyo na umeme.
Hadi sept 2,2022 hakuna mkoa hata mmoja umetumiwa fedha za ujenzi wa mirafi hiyo na haijulikani ni lini miradi hiyo itaanza kutekelezwa kupitia muda wa bajeti hiyo ya serikali.
Wananchi wa kanda ya ziwa wanakwenda mbali wakilalakika kutokuwa na umeme kitu kinacho ashiria wananchi na wanaccm kanda ya ziwa, kutokuwa na imani na kauli ya Rais samia ya kupeleka huduma muhimu na kwa wakati ili kupunguza ukali wa maisha.
Tunakuomba mh makamba ujitahidi fedha ulizozitengea bajeti kwa miradi hiyo mipya uzitume ili miradi hiyo iweze kufanyika kwa wakati na wananchi waendelee kuitetea na kukilinda chama tawala kama mboni ya jicho.
Ni matumsini yetu tanesco mikoa ya kanda ya ziwa itapokea fedha hizo kabla ta tarehe 10.9.2022, kwani tulijaribu kumpigia simu Katibu mkuu wa wizara ya Nishati Eng. Mramba alijibu yeye sio msemaji wa wizara ya Nishati.
Pamoja na salam za chama tawala peleka salam zetu kwa mh Rais samia suluhu, tunampenda na aliko mama kanda ya ziwa tupo.