Waziri wa Nishati anajua umuhimu wa kumiliki nishati ya umeme kwa asilimia 100?

LUS0MYA

JF-Expert Member
Aug 4, 2011
862
1,097
Taarifa ya Wizara ya Nishati imetoka kuwa wizara imeingia ubia na kampuni moja ya arabuni kuzalisha umeme megawati 2000.

Kinachoshangaza ni ule uharaka wa kuanzisha mradi mkubwa wa ubia wakati serikali inatekeleza mradi mwingine mkubwa ambao unamilikiwa na umma kwa asilimia 100 na ambao ukikamilika utazalisha utakaozidi mahitaji halisi ya umeme hapa nchini na kubaki na ziada kubwa.

Kuna shida gani serikali isikamilishe huu mradi kwanza wa bwawa la mwalimu halafu ianzishe huo mradi bila ubia na watu wa nje? Kwanini Serikali yenyewe inajitengenezea mazingira ya kujikosesha nguvu ya kusimamia nishati ya umeme ambayo ni nguzo kubwa katika uchumi baada ya mafuta?

Je, hatujifunzi jinsi ubia katika gesi unavyosumbua katika uzalishaji umeme kwa kutumia gesi? Ifike mahali serikali iangalie upya hii wizara ili ifanye mambo yake kwa kuzingatia manufaa ya nchi na watu wake.
 
Taarifa ya Wizara ya Nishati imetoka kuwa wizara imeingia ubia na kampuni moja ya arabuni kuzalisha umeme megawati 2000.

Kinachoshangaza ni ule uharaka wa kuanzisha mradi mkubwa wa ubia wakati serikali inatekeleza mradi mwingine mkubwa ambao unamilikiwa na umma kwa asilimia 100 na ambao ukikamilika utazalisha utakaozidi mahitaji halisi ya umeme hapa nchini na kubaki na ziada kubwa.

Kuna shida gani serikali isikamilishe huu mradi kwanza wa bwawa la mwalimu halafu ianzishe huo mradi bila ubia na watu wa nje? Kwanini Serikali yenyewe inajitengenezea mazingira ya kujikosesha nguvu ya kusimamia nishati ya umeme ambayo ni nguzo kubwa katika uchumi baada ya mafuta?

Je, hatujifunzi jinsi ubia katika gesi unavyosumbua katika uzalishaji umeme kwa kutumia gesi? Ifike mahali serikali iangalie upya hii wizara ili ifanye mambo yake kwa kuzingatia manufaa ya nchi na watu wake.
Tumeshasema hii wizara haina waziri.Ifahamike hivyo kazi ya huyu mtu ni kuuza sura tu amenunua vipindi pale ITV na hakuna anacho fanya ni ujinga MTUPU.
 
Hizo hela au huyo mbia si bora wangejenga bomba la gesi kutoka dar angalau lifike dodoma..lisaidie kupunguza uharibifu wa misitu, viwanda vipya vijengwe dodoma, wamiliki wa mabus na malori ya kwenda mbeya, bukoba na mwanza wahamasike kutumia gesi na hivyo kupunguza kiwango cha kuagiza mafuta nje...licha ya hivyo kwa nini masdar? Kwa nini isingetangazwa ili washindanishwe na wengine apatikane mbia mwenye sifa na vigezo kwa manufaa ya nchi? Mbona mradi wa JNHP ulitangazwa akapatikana Arab contractor wa misri..kuna shida kubwa kwenye nchi yetu, unatafuta mbia kuanza mradi mwingine wa jambo lile lile la mradi unaondelea haujakamilika, haraka ya nini? Tanesco hii ya sasa ina waswahili hapo juu, wana matatizo..tangu lini waarabu wakawa wawekezaji kwenye teknoloji ya nishati wakati wao nao wanategemea kutoka nchi nyingine..si utapeli huu, sasa hivi kila kitu waarabu, mara wawekezaji toka Oman, mara uae, mara Saudi Arabia..si bure!
 
Sitakuja kumwamini Waziri,aliyewahi kuiba mtihani Galanos.
Never...................X10000000000000....
 
Taarifa ya Wizara ya Nishati imetoka kuwa wizara imeingia ubia na kampuni moja ya arabuni kuzalisha umeme megawati 2000.

Kinachoshangaza ni ule uharaka wa kuanzisha mradi mkubwa wa ubia wakati serikali inatekeleza mradi mwingine mkubwa ambao unamilikiwa na umma kwa asilimia 100 na ambao ukikamilika utazalisha utakaozidi mahitaji halisi ya umeme hapa nchini na kubaki na ziada kubwa.

Kuna shida gani serikali isikamilishe huu mradi kwanza wa bwawa la mwalimu halafu ianzishe huo mradi bila ubia na watu wa nje? Kwanini Serikali yenyewe inajitengenezea mazingira ya kujikosesha nguvu ya kusimamia nishati ya umeme ambayo ni nguzo kubwa katika uchumi baada ya mafuta?

Je, hatujifunzi jinsi ubia katika gesi unavyosumbua katika uzalishaji umeme kwa kutumia gesi? Ifike mahali serikali iangalie upya hii wizara ili ifanye mambo yake kwa kuzingatia manufaa ya nchi na watu wake.
Mkuu, waziri pekee yake hawezi kuwa na utashi binafsi na kisha kuamua kuingia ubia bila ya ridhaa kutoka baraza zima la mawaziri likiongozwa na Rais mwenyewe. Waziri ni "figure head" tu pale maamuzi kuhusu wizara yake yanapoingia katika "hansard" za baraza.

Huiwezi kutofautisha maamuzi yenye ukakasi mwingi na kumuweka waziri peke yake bila uwajibukaji wa pamoja wa serikali yote kwa ujumla. Napendekeza mikataba yote nyeti ya nchi hii iwekwe wazi bungeni ili iweze kujadiliwa kwa kina kisha ipimwe kama ina maslahi mapana kwa taifa letu.
 
Ila Makamba sijui aliwafanyaga Nini raia, dah! Mnachuki mno sometimes hata hamjipi kufikiria na kutafakari.

Ni miradi mingapi nchi hii inaendeshwa Kwa ubia? Ni Makamba ndo alianzisha? Hivi Kuna mradi wa kimkakati na backbone wa nchi kama mafuta? Mbona unatawaliwa na ubia mwanzo mwisho. Hiyo Tanesco inayomilikiwa na serekali 100% unaona madudu inavyofanya? Kila siku tunalia Tanesco ipate mbadala iamke usingizini Sasa huo mbadala mnataka uweje?

Na why Makamba? Hivi unawaza mradi kama huu unaweza kuanzishwa bila baraka za Baraza la mawaziri? Hebu tupunguze chuki jamani tujenge hii nchi.
 
Taarifa ya Wizara ya Nishati imetoka kuwa wizara imeingia ubia na kampuni moja ya arabuni kuzalisha umeme megawati 2000.

Kinachoshangaza ni ule uharaka wa kuanzisha mradi mkubwa wa ubia wakati serikali inatekeleza mradi mwingine mkubwa ambao unamilikiwa na umma kwa asilimia 100 na ambao ukikamilika utazalisha utakaozidi mahitaji halisi ya umeme hapa nchini na kubaki na ziada kubwa.

Kuna shida gani serikali isikamilishe huu mradi kwanza wa bwawa la mwalimu halafu ianzishe huo mradi bila ubia na watu wa nje? Kwanini Serikali yenyewe inajitengenezea mazingira ya kujikosesha nguvu ya kusimamia nishati ya umeme ambayo ni nguzo kubwa katika uchumi baada ya mafuta?

Je, hatujifunzi jinsi ubia katika gesi unavyosumbua katika uzalishaji umeme kwa kutumia gesi? Ifike mahali serikali iangalie upya hii wizara ili ifanye mambo yake kwa kuzingatia manufaa ya nchi na watu wake.

Hili nalo nendeni mkalitizame mie naelekea Congo SADC​

 
Taarifa ya Wizara ya Nishati imetoka kuwa wizara imeingia ubia na kampuni moja ya arabuni kuzalisha umeme megawati 2000.

Kinachoshangaza ni ule uharaka wa kuanzisha mradi mkubwa wa ubia wakati serikali inatekeleza mradi mwingine mkubwa ambao unamilikiwa na umma kwa asilimia 100 na ambao ukikamilika utazalisha utakaozidi mahitaji halisi ya umeme hapa nchini na kubaki na ziada kubwa.

Kuna shida gani serikali isikamilishe huu mradi kwanza wa bwawa la mwalimu halafu ianzishe huo mradi bila ubia na watu wa nje? Kwanini Serikali yenyewe inajitengenezea mazingira ya kujikosesha nguvu ya kusimamia nishati ya umeme ambayo ni nguzo kubwa katika uchumi baada ya mafuta?

Je, hatujifunzi jinsi ubia katika gesi unavyosumbua katika uzalishaji umeme kwa kutumia gesi? Ifike mahali serikali iangalie upya hii wizara ili ifanye mambo yake kwa kuzingatia manufaa ya nchi na watu wake.
Nishati ndiko aliko Ng’ombe wa maziwa !! Rejea awamu zilizopita !! Watanzania wepesi sana kusahau !! Richmond, dowans, Iptl, Symbion , nk , nk !! Ongezeeni na mengine !!
 
Taarifa ya Wizara ya Nishati imetoka kuwa wizara imeingia ubia na kampuni moja ya arabuni kuzalisha umeme megawati 2000.

Kinachoshangaza ni ule uharaka wa kuanzisha mradi mkubwa wa ubia wakati serikali inatekeleza mradi mwingine mkubwa ambao unamilikiwa na umma kwa asilimia 100 na ambao ukikamilika utazalisha utakaozidi mahitaji halisi ya umeme hapa nchini na kubaki na ziada kubwa.

Kuna shida gani serikali isikamilishe huu mradi kwanza wa bwawa la mwalimu halafu ianzishe huo mradi bila ubia na watu wa nje? Kwanini Serikali yenyewe inajitengenezea mazingira ya kujikosesha nguvu ya kusimamia nishati ya umeme ambayo ni nguzo kubwa katika uchumi baada ya mafuta?

Je, hatujifunzi jinsi ubia katika gesi unavyosumbua katika uzalishaji umeme kwa kutumia gesi? Ifike mahali serikali iangalie upya hii wizara ili ifanye mambo yake kwa kuzingatia manufaa ya nchi na watu wake.
Jamaa wapo ajili ya kupiga pesa za umma wala hakuna lolote
 
Back
Top Bottom