Waziri wa nishati aitangaze orodha ya Watanzania ambao Hadi Sasa wameshalipia Tsh 27,000 za kufungiwa umeme Mjini. Tanesco kuna mgomo baridi

Kuna Kila dalili kuwa kuna mgomo tanesco kuhusiana na kufungiwa umeme maeneo ya mjini Kwa Tsh 27,000.
Kila ukienda tanesco popote nchini wanakupatia fomu Bure kazi inaanzia wapi.
1. Hakuna surveyor
2. Ukifanyiwa surveyor hawakupstii control number ya kulipia
3. Ulifanikiwa kulipia unaambiwa hakuna meta za Umeme.
4. Hakuna nguzo
5. Hakuna waya
6. Ukiwabana sana wanasema wanafunga stock ya mwisho wa mwaka hivyo stoo zote zimefungwa Hadi September 2021.
7. Ili kuondoka Kero ofisi za tanesco wateja ambao walishapimiwa umeme wamenyimwa kulipia.
Kwa maelezo haya, waziri ataje au atoe orodha ya waliofanikiwa kulipia Tsh 27,000 na waliopo mijini na kufanikiwa kupata umeme wilaya Kwa wilaya,mkoa Kwa mkoa. Kuna mgomo baridi.
Ndugu watanzania, tanesco kuna matatizo tunaomba vyombo vya habari,ulinzi na usalama viingilie Kati . Hali sio
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja, JM
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja, JM
Nilijua utaibuka na maswali haya.
 
sasa tanesco kwa hiyo migomo baridi wanatoa sababu gani ambazo ni kinzani na za serikali
 
Lalamiko lolote linaenda na taarifa muhimu hivyo kama kweli umekwama popote tupatie taarifa tuzifanyie kazi mara moja
We naye si utafute walioingiziwa umeme baada ya tangazo ni wangapi..!! Ulinganishe na kabla ya hilo tangazo utaona
 
We naye si utafute walioingiziwa umeme baada ya tangazo ni wangapi..!! Ulinganishe na kabla ya hilo tangazo utaona
Unahitaji takwimu? Zipo taratibu za kifata ili kupata takwimu halali kwenye taasisi lakini kama una tatizo tupatie taarifa kamili tulifanyie kazi
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja, JM
Huo muda unaoutumia hapa kwa nini usiutumie kwenda kuwaelimisha wafanyakazi wenzako waongeze ufanisi na kuacha urasimu

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja, JM
Tutumie taarifa hata kwa email

Customer.service@tanesco.co.tz tupo kukuhudumia
WEWE TANESCO ACHA UPUMBAVU..NCHI ZIMA VIJIJINI TULIOLIPIA ELF 27 HATUPEWI UMEME LABDA UMPE LAKI MOJA MENEJA WA WILAYA.NASEMA HAYA NIKIWA MUASILIKA MMOJA WAPO KUTOKA KIJIJI CHA NYAKAKARANGO..KATA YA NYAMIREMBE WILAYA YA CHATO MKOANI GEITA
 
Kwanini wamepunguza single fesi arafu three fesi iko vile vile? Laki tisa na kidogo kwa three fesi na single fesi kwa 27000/= wapi na wapi!!!! Kwanini na yenyewe wasiipunguze angarau ishuke adi laki mbili/200,000/=!!!!!! Sio watu wote wana uwezo bandugu, TANESCO ebu muwe na huruma na muogopeni Mungu aise. Hii ni zulma.
 

WEWE TANESCO ACHA UPUMBAVU..NCHI ZIMA VIJIJINI TULIOLIPIA ELF 27 HATUPEWI UMEME LABDA UMPE LAKI MOJA MENEJA WA WILAYA.NASEMA HAYA NIKIWA MUASILIKA MMOJA WAPO KUTOKA KIJIJI CHA NYAKAKARANGO..KATA YA NYAMIREMBE WILAYA YA CHATO MKOANI GEITA
Tunashukuru sana kwa taarifa elekezi hii wataalamu wetu wameipokea kwa uchungu,i zaidi
 

WEWE TANESCO ACHA UPUMBAVU..NCHI ZIMA VIJIJINI TULIOLIPIA ELF 27 HATUPEWI UMEME LABDA UMPE LAKI MOJA MENEJA WA WILAYA.NASEMA HAYA NIKIWA MUASILIKA MMOJA WAPO KUTOKA KIJIJI CHA NYAKAKARANGO..KATA YA NYAMIREMBE WILAYA YA CHATO MKOANI GEITA

Kulikuwa hakuna sababu ya kushusha ada ya kuvutiwa kama ndio ivyo. Hakuna sekta wanaviburi na dharau kama tanesco. Na sijui kwanini serikali zimewakalia ukimya, wanafanya wanavyotaka. Na hii ni kwa sababu awana mpinzani.


TANESCO

Pia tunaomba umeme wa 3phase wapunguze walau laki mbili jamani, munazani wote wana uwezo!!!!!! Kama single fesi 27000, kwani 3fesi nayo isipungue angalau 200,000/=
 
Back
Top Bottom