Waziri wa nishati aitangaze orodha ya Watanzania ambao Hadi Sasa wameshalipia Tsh 27,000 za kufungiwa umeme Mjini. Tanesco kuna mgomo baridi

peno hasegawa

JF-Expert Member
Feb 24, 2016
12,799
21,395
Kuna Kila dalili kuwa kuna mgomo tanesco kuhusiana na kufungiwa umeme maeneo ya mjini Kwa Tsh 27,000.
Kila ukienda tanesco popote nchini wanakupatia fomu Bure kazi inaanzia wapi.
1. Hakuna surveyor
2. Ukifanyiwa surveyor hawakupstii control number ya kulipia
3. Ulifanikiwa kulipia unaambiwa hakuna meta za Umeme.
4. Hakuna nguzo
5. Hakuna waya
6. Ukiwabana sana wanasema wanafunga stock ya mwisho wa mwaka hivyo stoo zote zimefungwa Hadi September 2021.
7. Ili kuondoka Kero ofisi za tanesco wateja ambao walishapimiwa umeme wamenyimwa kulipia.
Kwa maelezo haya, waziri ataje au atoe orodha ya waliofanikiwa kulipia Tsh 27,000 na waliopo mijini na kufanikiwa kupata umeme wilaya Kwa wilaya,mkoa Kwa mkoa. Kuna mgomo baridi.
Ndugu watanzania, tanesco kuna matatizo tunaomba vyombo vya habari,ulinzi na usalama viingilie Kati . Hali sio
 
Kuna Kila dalili kuwa kuna mgomo tanesco kuhusiana na kufungiwa umeme maeneo ya mjini Kwa Tsh 27,000.
Kila ukienda tanesco popote nchini wanakupatia fomu Bure kazi inaanzia wapi.
1. Hakuna surveyor
2. Ukifanyiwa surveyor hawakupstii control number ya kulipia
3. Ulifanikiwa kulipia unaambiwa hakuna meta za Umeme.
4. Hakuna nguzo
5. Hakuna waya
6. Ukiwabana sana wanasema wanafunga stock ya mwisho wa mwaka hivyo stoo zote zimefungwa Hadi September 2021.
7. Ili kuondoka Kero ofisi za tanesco wateja ambao walishapimiwa umeme wamenyimwa kulipia.
Kwa maelezo haya, waziri ataje au atoe orodha ya waliofanikiwa kulipia Tsh 27,000 na waliopo mijini na kufanikiwa kupata umeme wilaya Kwa wilaya,mkoa Kwa mkoa. Kuna mgomo baridi.
Ndugu watanzania, tanesco kuna matatizo tunaomba vyombo vya habari,ulinzi na usalama viingilie Kati . Hali sio
Halafu kuna mjinga anakuja anakuambia
  1. Mpe namba ya simu
  2. Mtaa wako
  3. Wilaya
  4. Mkoa
  5. Jina...
As if anakuja kutoa solution
 
Mimi nawaambieni tena ndugu zangu hapa JF hilo tamko ni kiki ya kisiasa.

It's an unfeasible subterfuge by the politicos.
Na sisi tunataka waziri aliondoe utaratibu wa zamani urudi maana hii kero ni bora tulipe tu
Kuna Kila dalili kuwa kuna mgomo tanesco kuhusiana na kufungiwa umeme maeneo ya mjini Kwa Tsh 27,000.
Kila ukienda tanesco popote nchini wanakupatia fomu Bure kazi inaanzia wapi.
1. Hakuna surveyor
2. Ukifanyiwa surveyor hawakupstii control number ya kulipia
3. Ulifanikiwa kulipia unaambiwa hakuna meta za Umeme.
4. Hakuna nguzo
5. Hakuna waya
6. Ukiwabana sana wanasema wanafunga stock ya mwisho wa mwaka hivyo stoo zote zimefungwa Hadi September 2021.
7. Ili kuondoka Kero ofisi za tanesco wateja ambao walishapimiwa umeme wamenyimwa kulipia.
Kwa maelezo haya, waziri ataje au atoe orodha ya waliofanikiwa kulipia Tsh 27,000 na waliopo mijini na kufanikiwa kupata umeme wilaya Kwa wilaya,mkoa Kwa mkoa. Kuna mgomo baridi.
Ndugu watanzania, tanesco kuna matatizo tunaomba vyombo vya habari,ulinzi na usalama viingilie Kati . Hali sio
TANESCO
 
Wakuu hili shirika ni jipu ,tena la kikoloni lisilo na malengo ya kiashara kabisa imagine mteja ndio aomba kuuziwa bizaa badala ya shirika kutafuta wateja,bado hiyo haitoshi inabidi ubembeleze na kuwahonga juu shame! Hili lifumuliwe tu jamani
 
Hizo ndio faida na hasara za 27,000/= mpimaji akija kupima ana kuambia hapa pana hitaji nguzo hivyo huwezi kulipia hadi tufikishe nguzo karibu na wewe lini mpaka wapate bajeti yani mimi nijenge nyumba nishindwe kupata umeme Kisa bei 27,000 kwani hizo bei zao za zamani tulishindwa kulipia?kikubwa waseme mimi kama mteja niko tayari kulipia nguzo niruhusiwe
 
Kuna Kila dalili kuwa kuna mgomo tanesco kuhusiana na kufungiwa umeme maeneo ya mjini Kwa Tsh 27,000.
Kila ukienda tanesco popote nchini wanakupatia fomu Bure kazi inaanzia wapi.
1. Hakuna surveyor
2. Ukifanyiwa surveyor hawakupstii control number ya kulipia
3. Ulifanikiwa kulipia unaambiwa hakuna meta za Umeme.
4. Hakuna nguzo
5. Hakuna waya
6. Ukiwabana sana wanasema wanafunga stock ya mwisho wa mwaka hivyo stoo zote zimefungwa Hadi September 2021.
7. Ili kuondoka Kero ofisi za tanesco wateja ambao walishapimiwa umeme wamenyimwa kulipia.
Kwa maelezo haya, waziri ataje au atoe orodha ya waliofanikiwa kulipia Tsh 27,000 na waliopo mijini na kufanikiwa kupata umeme wilaya Kwa wilaya,mkoa Kwa mkoa. Kuna mgomo baridi.
Ndugu watanzania, tanesco kuna matatizo tunaomba vyombo vya habari,ulinzi na usalama viingilie Kati . Hali sio
Mbaya zaidi hii imewaathiri na wale waliokuwa wamelipa 320,000/= baada ya hili zoezi kuanza wale waliolipa 27 wakatumia balance kutoa rushwa wakafungiwa umeme tofauti na wale waliokuwa wamelipa laki tatu na ishirini ambao wanaona wamelipa hela nyingi na hawaoni sababu ya kutoa rushwa.
Kibaha wengi waliolipa 320 ndo wanaosubiri umeme na 27 wengi wameshapata umeme.
Kinachofanyika Yule wa 27 anaongeza 50 au 100 anakula Moto faster
Mimi nawaambieni tena ndugu zangu hapa JF hilo tamko ni kiki ya kisiasa.

It's an unfeasible subterfuge by the politicos.
Tamko lilenga kukutumika kukusanya Kodi ya jengo ambayo itakatwa kila ukinunua umeme. Ninachokiona hakujuandaa vizuri wao walipiga hesabu ya hela wakaona figure basi wakatoa tamko.
 
Huku kwetu tunaambiwa mkandarasi wa kufunga umeme amekosa aina ya MITA ambazo serikali waliingia naye mkataba hivyo tatizo lipo kwa mkandarasi na siyo wao tanesco
 
Back
Top Bottom