kanchibay
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 672
- 687
Ujinga ujingatuuu, maisha magum afu mtu analazimisha watu kuweka umeme kwenye nyumba zao kwa nguvu, hivi kama hawana hela na huu usawa unahis maksudi au hali yawalazm,, hivi mbona mawaziri wahivi hawatufai!
Kumbuka tanesco yenyewe inahtaji hongo kupata nguzo, inahtaj hongo kupata mita, af mtu haya yote hajuii, watu huko vjjn nishdaa wapo baadh wana hadaika hawawez pata hata elf 50 af mtu anawapangia bajet ya maelf,, mungu atunusurutu jaman
Kumbuka tanesco yenyewe inahtaji hongo kupata nguzo, inahtaj hongo kupata mita, af mtu haya yote hajuii, watu huko vjjn nishdaa wapo baadh wana hadaika hawawez pata hata elf 50 af mtu anawapangia bajet ya maelf,, mungu atunusurutu jaman