Waziri wa nchi, ofisi ya Rais-Tamisemi anavunja sheria za nchi mchana kweupe

Hiyo ya kuboresha mazingira ni long time plan,
Short term plan iwe kuomba moja kwa moja shulen, then ambao wanaomba mjini wakose kazi.
Itasaidia shule hizo kuwa na waalimu husika for 2-3 yrs wakati mazingizra yakibadilishwa.
Kwa sasa mfumo wa ajira unaruhusu watu kuomba kazi kwenye vituo wanavyo vipenda moja kwa moja lakini hata hivyo suala la uhamisho linachagizwa na mambo mengi ambayo yanafanya watu wahame mfano kuugua, kuuguliwa, matatizo ya kifamilia, na imani za kishirikina.

Kwahiyo hata kuomba kwenye kituo cha kazi directly bado sio mwarobaini wa tatizo. Atleast serikali iboreshe mazingira ya vijijini au kutoa motisha kwa walimu wanaopangiwa vijijini itasaidia kupunguza tatizo kwa kiasi fulani
 
Kwa hiyo

mwalimu wa mjini yeye aishi mjini miaka yake yote ?
Hili linashangaza sana mkuu, na hao wanaopangiwa vijijini ni wale wa watoto masikini.
Vigezo vya kupangiwa mjini ni:
Kuwa mtoto au ndugu wa fulani
Kuwa mke au hawara wa fulani
Kwa wanawake kulala na DED/Mwenyekiti wa halmashauri/DT

Inakuwaje sheria kwa wa vijijini kutohamia mjini?
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom