Mwanzi1
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 6,000
- 4,586
Mkuu asante, ni kubadikishana mawazo tuu. Ndio uzuri wa uwamja huu wa JF.Asanteni sana kwa kumaliza mjadala vizuri, mmeonyesha uanaume wenu na uelewa wenu, wengi wamejifunza kitu hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu asante, ni kubadikishana mawazo tuu. Ndio uzuri wa uwamja huu wa JF.Asanteni sana kwa kumaliza mjadala vizuri, mmeonyesha uanaume wenu na uelewa wenu, wengi wamejifunza kitu hapa
Hata wakimuogesha na tindikali?Kuna watu wamechanganyikiwa na maisha hata waki send thugs to do her bad anaweza kuona wanamfanyia favor.
Ukweli gani hasa ambao huwa anausema?Mange hawezi kushitakiwa kutokana na kwamba huwa anasema ukweli usiopendwa Tanzania lakini unakubalika Marekani.
She has some sort of a martyr wish, so that could make her day in a sense. It could be like a badge of honor for her, give her seemingly empty life more meaning and make her even more vocal.Hata wakimuogesha na tindikali?
Issues nyingi anazosemaga hasa kuhusu wana siasa wa hapa bongo huwa zina end up kuwa kweli kwakuwa huwa wanashindwa kukanusha!Ukweli gani hasa ambao huwa anausema?
Kama kukana kuwa ndoa yake imekufa na baadaye kuja kuumbuka?
Huwa wanashindwa kukanusha au huwa wanampuuza?Issues nyingi anazosemaga hasa kuhusu wana siasa wa hapa bongo huwa zina end up kuwa kweli kwakuwa huwa wanashindwa kukanusha!
Ndio au hii post haina maana kwa kuwa inaonesha hara huyo mlalamikaji kaja public kiaina!UNATAKA NIWEKE HUO UDHALILISHAJI WA HUYU MAMA HAPA?
Nani kakamwbia kuwa anaandika uchafu?nyie kwenu raha Shigongo akiwaandika celeb uchwara kama akina sepenga tu ila wakiandikwa hawa hawa celeb malaika wasiopenda kujaribiwa inakuwa uchafu!Usituwekee hizo kashfa hapa. Wanaotaka wakazitafute mitandaoni. Huyu mwanamke anajua kukashifu, hatupendi kusoma uchafu wake
Kwa kweli nashindwa kuelewa kabisaKweli mkuu.. the whole point ya kuchangia inapotea. Maana mtu utakuwa unachangia usichokijua..
Wewe yaelekea status yako ni ya kina Shigongo na kushabikia upuuzi.Nani kakamwbia kuwa anaandika uchafu?nyie kwenu raha Shigongo akiwaandika celeb uchwara kama akina sepenga tu ila wakiandikwa hawa hawa celeb malaika wasiopenda kujaribiwa inakuwa uchafu!
Umesoma shule za Akadem? utafuniwe kila kituHabari yako haijakamilika kabisa.
Huyo waziri anaitwa nani?
Kipi hicho alichodhalilishwa?
Lini kadhalilishwa?
Chanzo cha hiyo taarifa?