CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
hii ndo democrasia ya kweli!
Pongezi zake! Kaona hajitoe kwenye ndoa
huo ndio ubinadamu...watanganyika igeni mfano..
Pongezi zake! Kaona hajitoe kwenye ndoa
ni kutokana na kuzama kwa meli
Ile meli imesajiliwa zanzibar,na zipo nyingi za aina ile zanzibari ,sumatra wanakataliwa kuzikagua kabisa kwa sababu eti zimesajiliwa upande mwingine wenye nguvu sawa na wao!!ajali 2 za Meli kwa miezi 9 tu
nenda kwanza kajifunze Kiswahili ndiyo uanzishe thread. kujiuzuru maana yake nini? unamaanisha kujiuzulu? ama unamaanisha kuzuru?
nadhani unamaanisha kujiuzulu kutokana na kumtaja mwakyembe. kuwa makini uandikapo kiswahili!
Mh ......mie hapa sitii neno manake hawa bana !.....mbona hakujiuzulu kwenye ile ajali ya mwanzo?