Ngongoseke
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 3,203
- 1,462
Huo ndio uongozi unapoharibu kaa pembeni pisha wengine na wao wafanye kazi' kuna miwaziri huku kwetu hata liharibu vp halijiuzulu litatafuta sababu hata uongo ili libaki madarakani'wengine mpaka wanaibiwa na makahaba lakini wanadunda tu hayana hata hisia za aibu'