Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,326
Nimeona bandiko la mh Zungu juu ya maadhomisho ya siku ya mazingira. Ni blaa blaa zisizo na.maana.
Hiyo speech yako hakuna mwananchi ataielewa.. pia kwa sasa hatuhitaji porojo.
Unazungumza mazingira kama kitu kipo sayari nyingine wakati mazingira
1. Kupanda miti kuanzia nyimbani kwako
2. Usafi
3. Kuzuia uchafuzi wa mazingira kuanzia ntumbani kwako
4. Etc
Ningengekusikia umeleta kampeni ya kupanda miti let say bil 1, ningekuona upo serious.
Angalia mwenzio ethippia anafanya.
Hiyo speech yako hakuna mwananchi ataielewa.. pia kwa sasa hatuhitaji porojo.
Unazungumza mazingira kama kitu kipo sayari nyingine wakati mazingira
1. Kupanda miti kuanzia nyimbani kwako
2. Usafi
3. Kuzuia uchafuzi wa mazingira kuanzia ntumbani kwako
4. Etc
Ningengekusikia umeleta kampeni ya kupanda miti let say bil 1, ningekuona upo serious.
Angalia mwenzio ethippia anafanya.