Waziri wa mawasiliano kalipwa na makampuni ya nje kuiua shirika la ndege la tanzania.

kukumdogo

JF-Expert Member
Feb 1, 2011
2,866
2,746
Bila serikali kufanya maamuzi ya dhati ya kumtimua waziri wa mawasiliano omary nundu basi shirika lake la ndege litamalizika kabisa. Mimi nipo katika wizara ya miundombinu na ninaona wawekezaji wengi wanakuja kutaka kulikomboa shirika lakini waziri mwenye dhamana anagoma kuwapa kibali na kuwajibu waanzishe mashirika yao. Inasikitisha waziri kama huyu kupewa hisa na kampuni ya fly 540 ya kenya ili kuiua shirika la taifa na kuwanufaisha nchi jirani. Vilevile analipya na shirika la ndege la precision mshahara kila mwezi ili kuhakikisha shirika la atcl halisimami.

Nasema haya kwa machungu makubwa sana kwa sababu menejiment ya atcl imekatazwa kabisa kufanya maamuzi ya kuikomboa shirika na kuakikisha hilo serikali imewakataza kabisa kuchukua mkopo kwa ajili ya kuliendesha shirika huku wenzao wakisaidiwa na serikali japo ni kampuni ya kikenya.
Tusipo kuwa na uchungu wa mali zetu basi kamwe hatuwezi endelea.
Ila baada ya uchunguzi wa kina imegundulika nundu alikuwa anafanya kazi katika shirika la ndege la tanzania na aliondoka kwa hasira kwa kunyimwa cheo cha technical director hivyo paka leo anahasira na kumaliza hasira zake ni kuiua kampuni.
Wafanyakazi wanalijua hilo na sasa wapo tayari kwa lolote ila sisi kama wananchi tunataka shirika letu. Mambo ya kuhongwa tv na sim ili kuua kampuni hatutaki mheshimiwa nundu.
 
Mkuu, hizi ni tetesi au una uhakika. Tuhakikishie na taarifa zako kwa kutupatia source yake. Unasema kuwa wafanyakazi wanasema hivi..., mara mimi nimfanyakazi hapo..., mwisho, wananchi tunataka hivi...

Nikueleweje?
 
Tanzania zaidi ya uijuavyo. Hv Intelejensia haifanyagi kazi kwa watu kama hawa - nauliza didn't the intelligence agency vetted this goofy and advice the dim-witted JK? BTW, he's realizing JK's priorities.
 
Bila serikali kufanya maamuzi ya dhati ya kumtimua waziri wa mawasiliano omary nundu basi shirika lake la ndege litamalizika kabisa. Mimi nipo katika wizara ya miundombinu na ninaona wawekezaji wengi wanakuja kutaka kulikomboa shirika lakini waziri mwenye dhamana anagoma kuwapa kibali na kuwajibu waanzishe mashirika yao. Inasikitisha waziri kama huyu kupewa hisa na kampuni ya fly 540 ya kenya ili kuiua shirika la taifa na kuwanufaisha nchi jirani. Vilevile analipya na shirika la ndege la precision mshahara kila mwezi ili kuhakikisha shirika la atcl halisimami.

Nasema haya kwa machungu makubwa sana kwa sababu menejiment ya atcl imekatazwa kabisa kufanya maamuzi ya kuikomboa shirika na kuakikisha hilo serikali imewakataza kabisa kuchukua mkopo kwa ajili ya kuliendesha shirika huku wenzao wakisaidiwa na serikali japo ni kampuni ya kikenya.
Tusipo kuwa na uchungu wa mali zetu basi kamwe hatuwezi endelea.
Ila baada ya uchunguzi wa kina imegundulika nundu alikuwa anafanya kazi katika shirika la ndege la tanzania na aliondoka kwa hasira kwa kunyimwa cheo cha technical director hivyo paka leo anahasira na kumaliza hasira zake ni kuiua kampuni.
Wafanyakazi wanalijua hilo na sasa wapo tayari kwa lolote ila sisi kama wananchi tunataka shirika letu. Mambo ya kuhongwa tv na sim ili kuua kampuni hatutaki mheshimiwa nundu.

mkuu hizi ni habari nzuri kwa upande mmoja kumtambua mbaya wetu lakini kwa upande mwingine zinahitaji kuthibitishwa ili ziweze kuwa na manufaa kwa wananchi na nchi yetu.
Kama kuna uthibitisho basi jaribu kuweka more evidence ili iwe rahisi kuua tunaanzia wapi kumkabili nundu.
 
hizi ni habari za uhakika kabisa kama mnabisha ulizeni kama hakupeleka maombi awe CEO wa ATCL na kupigwa chini baada ya makaburu kuondoka
 
Mambo ya kuhongwa tv na sim ili kuua kampuni hatutaki mheshimiwa nundu.

Kweli waziri mzima anaweza kuhongwa vitu vidogo kama hivi? Napata shida kidogo kuamini kama kweli waziri mzima anaweza kuliacha shirika life eti kwasababu kapokea zawadi ya simu na Tv, haya ni matusi kwa watanzania!
 
Kwa miaka nenda miaka rudi nchi hii imepoteza fedha nyingi kwa shirika la ndege kutokana na vitendo vya ubadhirifu. Hivyo nakubaliana na waziri kwamba si jambo la busara kwa serikali kuendelea kutumbukiza fedha za wananchi kwa shirika hilo lililokwisha. Yapo mashirika mengine binafsi ya ndege yatakayoziba hilo pengo litakaloachwa na ATC. Kwasasa nguvu zote zielekezwe kwenye kuimarisha usafiri wa reli.
 
Jamani waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teke linalokujia ni Makame Mbarawa na naibu wake ni Charles Kitwangwa. Waziri Wizara ya Uchukuzi - (Reli, Bandari, Usafiri wa Majini) - Omary Nundu akisaidiwa na
Naibu Waziri - Athuman Mfutakamba.
Tusichanganye mambo wa ndungu


 
Mwenye kuharibu shirika ni Omari Nundu nawaambieni. kweli rushwa hupotosha mwenye hekima. Mheshimiwa Nundu amepania kwa dhati kuliua shirika la ndege kisa posho ndogondogo za flt 540 na precision air. hii ni hatari
 
Hi,

Kama mlimsikiliza vizuri Waziri akiongea TBC, alisema issue sio kuona ATCL hipo hewani, issue ni je usafiri wa anga hupo? Nilishangazwa sana na sentesi. Kilichonijia haraka ni kuwa huyu waziri anambinu nyingine mbali na ATCL. Hivyo tutegemee anguko jumla la ATCL.
 
Bila serikali kufanya maamuzi ya dhati ya kumtimua waziri wa mawasiliano omary nundu basi shirika lake la ndege litamalizika kabisa. Mimi nipo katika wizara ya miundombinu na ninaona wawekezaji wengi wanakuja kutaka kulikomboa shirika lakini waziri mwenye dhamana anagoma kuwapa kibali na kuwajibu waanzishe mashirika yao. Inasikitisha waziri kama huyu kupewa hisa na kampuni ya fly 540 ya kenya ili kuiua shirika la taifa na kuwanufaisha nchi jirani. Vilevile analipya na shirika la ndege la precision mshahara kila mwezi ili kuhakikisha shirika la atcl halisimami.

Nasema haya kwa machungu makubwa sana kwa sababu menejiment ya atcl imekatazwa kabisa kufanya maamuzi ya kuikomboa shirika na kuakikisha hilo serikali imewakataza kabisa kuchukua mkopo kwa ajili ya kuliendesha shirika huku wenzao wakisaidiwa na serikali japo ni kampuni ya kikenya.
Tusipo kuwa na uchungu wa mali zetu basi kamwe hatuwezi endelea.
Ila baada ya uchunguzi wa kina imegundulika nundu alikuwa anafanya kazi katika shirika la ndege la tanzania na aliondoka kwa hasira kwa kunyimwa cheo cha technical director hivyo paka leo anahasira na kumaliza hasira zake ni kuiua kampuni.
Wafanyakazi wanalijua hilo na sasa wapo tayari kwa lolote ila sisi kama wananchi tunataka shirika letu. Mambo ya kuhongwa tv na sim ili kuua kampuni hatutaki mheshimiwa nundu.

Kabla hatujaanza kumjadili Nundu na wawekezaji inabidi kujibu maswali ya msingi yafuatayo. Hivi ATCL ipo kwa manufaa ya nani? Hivi kilitokea nini mpaka ikafikia hapo ilipo wakati ilikuwa ni shirika pekee la ndege nchini kwa miaka mingi? Je likifufuliwa tuna uhakika gani kuwa yule mdudu aliyelifikisha hapo lilipo hatarudi tena kulitafuna upya life tena? Je pesa ya kulifufua itakwenda kufanya kazi hiyo au itakwenda kwenye mikono ya wajanja wachache ambao kimsingi ndio waliolifikisha hapa lilipo?

Mimi binafsi siamini katika ufanisi endelevu wa mashirika ya umma Tanzania kwani wanasiasa ambao kimsingi ndio wasimamizi wa mashirika haya wana matatizo makubwa ya uadilifu. Ni mpaka hapo tutakapotatua tatizo la msingi la uadilifu (ufisadi) ndio tunaweza kufufua mashirika yaliyokufa (NIC, ATCL, TRC, etc) au kuanzisha mashirika mapya yakaendelea (kama wenzetu wa Rwanda walivyoanzisha shirika la ndege).
 
Alikuja Bilionea wa Kichina akitaka kuingia ubia na atcl tangu 2007 amezungushwa mpaka kaacha mwenyewe, jamaa alitaka kuanzisha direct flight kati ya Dar na Beijing kwa kutoa ndege zake za kisasa pia kuifanya Dar kama hub ya EAC lakini kwa kuwa hakuwa tayari kutoa rushwa kaona isiwe tabu, bakini na kampuni yenu, tena nasikia aliwaambia andikeni mkataba wenyewe mseme mnachotaka lakini wapi!
 
Mwenye kuharibu shirika ni Omari Nundu nawaambieni. kweli rushwa hupotosha mwenye hekima. Mheshimiwa Nundu amepania kwa dhati kuliua shirika la ndege kisa posho ndogondogo za flt 540 na precision air. hii ni hatari

Shirika liliharibika kabla ya Nundu kuwa waziri. Sikuelewi unaposema anayeharibu shirika ni Nundu. Haya ni majibu rahisi kwa masuala yanayohitaji suluhisho la kina.

Sio sahihi kwa waziri kupewa posho na hao uliowataja kama hilo ni la kweli. Ila vilevile siyo sahihi kumtwisha matatizo ya ATCL bw Nundu kwa sababu tu aliwahi kufanya kazi pale. Siamini kuwa Nundu ndiye hasa kiini cha matatizo ya ATCL.
 
Hata kama Waziri si kiini cha matatizo-amewekwa kuaribu au kutengeneza? Nini wajibu wake kama ndo hivyo. Nimategemeo ya watanzania wote kuona mageuzi chanya ktk wazara yake zaidi akiboresha ATCL yenye muono wa kutangaza Tanzania
 
Hi,

Kama mlimsikiliza vizuri Waziri akiongea TBC, alisema issue sio kuona ATCL hipo hewani, issue ni je usafiri wa anga hupo? Nilishangazwa sana na sentesi. Kilichonijia haraka ni kuwa huyu waziri anambinu nyingine mbali na ATCL. Hivyo tutegemee anguko jumla la ATCL.

Mkuu usiwewe na wasiwasi juu ya kile ulicho kisikia TBC1. Nimekugongea thanks kwako kama ishara ya quotation na usikivu mzuri. Mimi mwenyewe nilimsikia vizuri kabisa tena mwandishi akamwuliza mara ya pili lakini yeye akasisitiza kuwa "issue si ATCL ila issue ni usafiri wa anga upo tena kwa wakati unao taka wewe" Tena akasema kuna mpango wake anaukamilisha akimaliza tutauona. Nilistuka kidogo na kauli yake nikawaza huyu mtu anampango gani ambao hauipi first priority ATCL.Sasa nimejua alichokimaanisha Nundu. Kwa maana hiyo mtoa mada hupo sahihi kabisa.
 
Alikuja Bilionea wa Kichina akitaka kuingia ubia na atcl tangu 2007 amezungushwa mpaka kaacha mwenyewe, jamaa alitaka kuanzisha direct flight kati ya Dar na Beijing kwa kutoa ndege zake za kisasa pia kuifanya Dar kama hub ya EAC lakini kwa kuwa hakuwa tayari kutoa rushwa kaona isiwe tabu, bakini na kampuni yenu, tena nasikia aliwaambia andikeni mkataba wenyewe mseme mnachotaka lakini wapi!
Wachina na makampuni yao wengi ni matapeli kama makaburu walivyo kama angekuwa na nia thabiti ya kuwekeza nchini kwanini wasianzishe shirika lao? Kama walivyofanya Precission, fly540 etc. au ilivyo Community ailinesa na air zara etc.
 
jamani serikali iliingia mkataba na makaburu na baada ya kuuvunja mkataba shirika lilibakiwa na deni la dola 30,000,000. serikali ikasema itailipa. lakini cha kushangaza haikuilipa. ilipromise kutoa working capital ila haikutoa. vilevile Omary Nundu amesitisha mpango wa wakurugenzi wa ATCL kutumia mbinu mbadala ya kuokoa shirika. Nundu anashikilia mpango wake kuendeleza kampuni za kikenya wakati yeye ni Mtanzania. kitu kama hiki kingetokea kenya angekuwa amepigwa risasi. Nundu Badilika na Rudisha hela za watu ulizopokea.
 
no evidence no right to speak... TAFUTA EVIDENCE TUMLIPUE HUYO ASIYE NA UCHUNGU NA NCHI HII

ENZI ZA KUENDESHA NCHI KISHOGA NDO ZISHAPITA
 
Kumbe basi ni nani anayepaswa kuhakikisha linasimama? Nilidhani Nundu ndiye waziri mwenye dhamana.
 
Back
Top Bottom