Waziri wa mambo za nje wa Kenya amewasili Mogadishu kwa mazungumzo na jirani

Tony254

JF-Expert Member
May 11, 2017
16,017
16,427
Hakuna nchi ambayo Kenya imekuwa na mahusiano hasi nayo kushinda Somalia. Nafurahi kuona hatua zikichukuliwa na pande zote mbili kurudi mezani na kufanya mazungumzo. Mazungumzo ni muhimu katika kuleta upatanisho kati ya nchi hizi mbili.

 
1628425892204.png

1628425943675.png

1628425989976.png
 
Muhimu sana kuhamasisha na kudumisha uhusiano mwema baina yetu ili biashara ziende.....sisi ni mabepari, wanabiashara, tunapenda sana amani ili maslahi yetu yalindwe.
Hehehe kule Bongo waziri wao ametoa agizo hamna tena mambo ya kufumaniana, ukiona mpenzi wako kaingizwa gesti, uache anyanduliwe usiingilie faragha yao. Na ukiwafumania utafungwa jela wewe, waheshimu kwenye mambo yao.
 
Muhimu sana kuhamasisha na kudumisha uhusiano mwema baina yetu ili biashara ziende.....sisi ni mabepari, wanabiashara, tunapenda sana amani ili maslahi yetu yalindwe.
Hehehe kule Bongo waziri wao ametoa agizo hamna tena mambo ya kufumaniana, ukiona mpenzi wako kaingizwa gesti, uache anyanduliwe usiingilie faragha yao. Na ukiwafumania utafungwa jela wewe, waheshimu kwenye mambo yao.

Kama kawaida yako kuota na kuweweseka kuhusu Tanzania. Sasa ziara ya waziri wenu kwenda Somalia na mambo ya fumanizi Tanzania, wapi na wapi!!!!?
 
Hakuna nchi ambayo Kenya imekuwa na mahusiano hasi nayo kushinda Somalia. Nafurahi kuona hatua zikichukuliwa na pande zote mbili kurudi mezani na kufanya mazungumzo. Mazungumzo ni muhimu katika kuleta upatanisho kati ya nchi hizi mbili.


Msitamani mafuta yao lkn.
 
Back
Top Bottom