britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
FINLAND WAIPONGEZA TANZANIA KUFANIKISHA VITA DHIDI YA RUSHWA: Waziri wa Mambo ya Nje wa Finland, Timo Soini ameipongeza serikali ya Tanzania kwa kuendeleza na kufanikisha mapambano dhidi ya rushwa.
Balozi huyo ametoa kauli hiyo alipokutana na kumkaribisha ofisini kwake Waziri mwenza wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki nchini Tanzania, Dkt. Augustine Mahiga pamoja na ujumbe wake ambao wako nchini humo kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.
Source:Azam media
Balozi huyo ametoa kauli hiyo alipokutana na kumkaribisha ofisini kwake Waziri mwenza wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki nchini Tanzania, Dkt. Augustine Mahiga pamoja na ujumbe wake ambao wako nchini humo kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.
Source:Azam media