Angekuwa anaongea na waandishi wa habari sawa lakini wamiliki naona siyo sawa saizi yao ni Mwakyembe, Kabudi saizi yake ni mabalozi au ndio kuchanganyikiwa kwenyewe baada ya jana kudhalilishwa.
ANGALIZO: Wamiliki wanajua wanaenda kuongea na mtu wa aina gani, mtu anayejipendekeza, asiye na msimamo, mwenye jaziba, kwahiyo waende na quote hii ya Baba wa taifa.
Yetu masikio.
ANGALIZO: Wamiliki wanajua wanaenda kuongea na mtu wa aina gani, mtu anayejipendekeza, asiye na msimamo, mwenye jaziba, kwahiyo waende na quote hii ya Baba wa taifa.
Yetu masikio.