Mtaka Haki
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 492
- 149
Haya yametokea Tunisia leo. Rais wa Tunisia amemfukuza kazi waziri wa mambo ya ndani. Sababu ni maandamano ya kupinga ufisadi yaliyosababisha watu 23 kuuawa. Watu waliowekwa ndani wameamuriwa kuachiliwa huru.
Tanzania ingekuwaje kama mambo yangeenda namna hii?
Bofya hapa kwa habari zaidi na kuona source
BBC News - Tunisia protests: President sacks interior minister
Tanzania ingekuwaje kama mambo yangeenda namna hii?
Bofya hapa kwa habari zaidi na kuona source
BBC News - Tunisia protests: President sacks interior minister